Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Habari wa jukwaa,
Kuna watu wengi wanafeli hapa, unakuta mwanaume kaoa halafu anamtamani mke wa mwenzie. Hivi siku ukamfuma wa kwako itakuwaje?
Jambazi akiibiwa uwa anaua, lakini yeye hajui kuwa mtu akiibiwa huwa anapata matatizo gani.
Ukioa punguza mihemko, maji ndio yale yale sema visima tofauti!
Kuna watu wengi wanafeli hapa, unakuta mwanaume kaoa halafu anamtamani mke wa mwenzie. Hivi siku ukamfuma wa kwako itakuwaje?
Jambazi akiibiwa uwa anaua, lakini yeye hajui kuwa mtu akiibiwa huwa anapata matatizo gani.
Ukioa punguza mihemko, maji ndio yale yale sema visima tofauti!