Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imani mkuu[emoji1787][emoji1787]Maisha ya Mwafrika ni shida. Hakuna kupumzika yaani. Kila siku kuna jipya dah!
Wenzetu wazungu na Waasia huko sijui wanaishije maana inavyoonekana mapepo na al kadabra nyingine za kiroho zimekita mizizi kwa Mwafrika.
Kuzaliwa Afrika aisee ni mzigo!
Je naweza kutumia chumvi ya mawe kumuharibuia MTU kwa kuchomaKuchoma ni negative kuogea ni positive.. Kuchoma ni kwa ajili ya kuharibu
Za kina drone drakeTena nyie ndio kabisa maana mnalisha maroho machafu bila kujijua ndio maana baadhi wanashindwa kutoka huko kutokana na manii zao kuwa tamu hivyo hutekwa kabida na kugeuzwa watumwa wa kuzalisha hicho chakula! Kuna manii chungu pia