Ngono ni ibada na madhabahu

Wale wanaochungulia nyota kabla y ndoa huwa wanazingatia haya au sio?

Kwa hiyo hata manzi za kupiga tuu tuje kwenu wataalamu wa nyota?
 
Kwa hisani ya google translate [emoji2]
 
Wale wanaochungulia nyota kabla y ndoa huwa wanazingatia haya au sio?

Kwa hiyo hata manzi za kupiga tuu tuje kwenu wataalamu wa nyota?
Maisha ni yako na uamuzi ni wako! Ni ngumu kumpangia mtu cha kufanya
 
Unatuuliza sisi tena [emoji3]
 
Tena nyie ndio kabisa maana mnalisha maroho machafu bila kujijua ndio maana baadhi wanashindwa kutoka huko kutokana na manii zao kuwa tamu hivyo hutekwa kabida na kugeuzwa watumwa wa kuzalisha hicho chakula! Kuna manii chungu pia
Na wale wanaokojolea kwenye kondom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…