Ngono ya kinywa inaweza ambukiza Saratani ya Koo

Ngono ya kinywa inaweza ambukiza Saratani ya Koo

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
2_Slavery-figuresa.jpg
Human Papilloma Virus (HPV) ndicho kirusi ambacho inaaminika kinatajwa kuwa kinasababisha Saratani ya Kizazi, ambayo kwa asilimia kubwa inawaathiri wanawake.

Pamoja na hivyo wanaume na wanawake wote wanaweza kuathirika na kirusi hicho kwa kupata saratani ya koo ikiwa watashiriki ngono ya kinywa na mtu mwenye virusi hivyo.

Elias Kuyamba ambaye ni Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Kina Mama anaelezea:
Sababu za kitabibu zinaeleza kuwa kama mwenza mmoja akiwa na virusi hivyo kisha akashiriki ngono kwa kutumia kinywa katika sehemu za siri za mwenza mwenye virusi hivyo, hapo mdudu (kirusi) akiingia kwenye kinywa anaweza kukaa kwenye koo na baadaye ndipo mhusika anapata saratani ya koo.

Sababu ya saratani
Ugonjwa huu huwa hauanzi na dalili, ukiona mgonjwa amefikia hatua ya kuanza kuonesha dalili basi jua kwamba hatua inakuwa imeshafika mbali.

Ugonjwa huu unaweza kukaa kwenye mwili wa mtu hasa mwanamke kwa miaka mingi bila kuwa na dalili zozote, ndio maana wataalamu wanashauri vipimo viwe vinafanyika mara kwa mara kwa mwanamke ili kujua hali yake ya kiafya.

Mfano mwanamke anaweza kumpata kirusi wa Saratani ya Kizazi akiwa na umri wa miaka 20, lakini akaja kuanza kupata dalili za ugonjwa huo akiwa na umri wa miaka 50.

Dalili za Saratani ya Kizazi
-Kutoka damu ukeni baada ya kujamiiana

-Kutoka damu wakati ambao siyo wa hedhi

-Kutoka maji yenye harufu mbaya sehemu za siri

-Maumivu makali wakati wa kujamiiana

-Haja ndogo na kubwa kutoka hovyo

Matibabu ya Saratani
-Mgonjwa anaweza kupona akipata huduma mapema

-Matibabu ya mionzi au upasuaji katika hatua ya waali


KUJIKINGA
-Chanjo

-Kuwe na Awareness kwenye jamii

-Kushiriki ngono salama


Pia soma > Fahamu kuhusu Human Papilloma Virus ambayo husababisha Saratani ya Shingo ya Kizazi
 
ya kinywaa ameshika koni ama ya kinywa amezama chumviniii
 
Hakuna faida ya kufa mzima wa afya. Kuna watoto hawajawai ata kuona uchi ila wamekufa. Kufa ni kufa
 
Ngoja waje kuchukua miongozo...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
kwani wanawake wakipelekewa iyo kitu huwa wanaisikilizia hadi kooni? binafsi huwa sipendi oral sex, kwangu ni dhambi na huwa sifanyi. hata enzi za ujiinga sijawahi kumruhusu mwanamke anyonge iyo kitu yangu. dhambi ingine ambayo hata kama nilikuwa na dhambi lakini sijawahi kufanya na haitakuja itokee maishani mwangi ni tigo. kuna wanawake wengine hadi walikuwa wananiomba niwafanyie iyo lakini nilikataa.
 
tena hao wazama chumvini ingewanyoosha kabisa maana wanabadilisha matumizi ya kinywa ...

we kinywa unatoka kulamba papuchi halafu kinywa hicho hicho unakitumia kumtukuza Mungu kweli ?
 
Human Papilloma Virus (HPV) ndicho kirusi ambacho inaaminika kinatajwa kuwa kinasababisha Saratani ya Kizazi, ambayo kwa asilimia kubwa inawaathiri wanawake.

Pamoja na hivyo wanaume na wanawake wote wanaweza kuathirika na kirusi hicho kwa kupata saratani ya koo ikiwa watashiriki ngono ya kinywa na mtu mwenye virusi hivyo.

Elias Kuyamba ambaye ni Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Kina Mama anaelezea:
Sababu za kitabibu zinaeleza kuwa kama mwenza mmoja akiwa na virusi hivyo kisha akashiriki ngono kwa kutumia kinywa katika sehemu za siri za mwenza mwenye virusi hivyo, hapo mdudu (kirusi) akiingia kwenye kinywa anaweza kukaa kwenye koo na baadaye ndipo mhusika anapata saratani ya koo.

Sababu ya saratani
Ugonjwa huu huwa hauanzi na dalili, ukiona mgonjwa amefikia hatua ya kuanza kuonesha dalili basi jua kwamba hatua inakuwa imeshafika mbali.

Ugonjwa huu unaweza kukaa kwenye mwili wa mtu hasa mwanamke kwa miaka mingi bila kuwa na dalili zozote, ndio maana wataalamu wanashauri vipimo viwe vinafanyika mara kwa mara kwa mwanamke ili kujua hali yake ya kiafya.

Mfano mwanamke anaweza kumpata kirusi wa Saratani ya Kizazi akiwa na umri wa miaka 20, lakini akaja kuanza kupata dalili za ugonjwa huo akiwa na umri wa miaka 50.

Dalili za Saratani ya Kizazi
-Kutoka damu ukeni baada ya kujamiiana

-Kutoka damu wakati ambao siyo wa hedhi

-Kutoka maji yenye harufu mbaya sehemu za siri

-Maumivu makali wakati wa kujamiiana

-Haja ndogo na kubwa kutoka hovyo

Matibabu ya Saratani
-Mgonjwa anaweza kupona akipata huduma mapema

-Matibabu ya mionzi au upasuaji katika hatua ya waali


KUJIKINGA
-Chanjo

-Kuwe na Awareness kwenye jamii

-Kushiriki ngono salama


Pia soma > Fahamu kuhusu Human Papilloma Virus ambayo husababisha Saratani ya Shingo ya Kizazi
ulaji wa mimea unaweza kuboresha si tu uzito wa mwili, viwango vya sukari katika damu, na uwezo wa kudhibiti kolesteroli, bali pia hali za kihisia-moyo, na mshuko-moyo, wasiwasi, uchovu, siha njema, na utendaji wa kila siku.”

Muhtasari wa chakula:
hakuna kutumia bidhaa za wanyama ikiwa ni pamoja na:

Maziwa
Nyama
mayai
.unatakiwa kuzingatia vyakula vinavyotokana na mimea

Lakini, ni virutubisho gani vinavyokosekana bila kutumia bidhaa za vyakula vya wanyama kulingana na The Vegan Society, "B12 ndiyo vitamini pekee ambayo haitambuliwi kuwa hutolewa kwa kutegemewa kutoka kwa chakula cha aina mbalimbali, chakula cha mimea na matunda na mboga nyingi, pamoja na kupigwa na jua." Nyongeza inapendekezwa..
 
Back
Top Bottom