spray
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 277
- 241
Roho inaniuma hatari
Naona nikalale tu
Yaani tushakula 3 ndani ya 15 minutes
Asalaleee
===
FT: Tanzania 0-3 Morocco.
Kutoka kundi C, Tanzania inaaga mashindano ikiwa imefungwa jumla ya magoli 8 na kufunga 1 huku ikiwaacha Morocco, Ghana na Gambia wakisonga mbele hatua ya robo fainali.
Naona nikalale tu
Yaani tushakula 3 ndani ya 15 minutes
Asalaleee
===
FT: Tanzania 0-3 Morocco.
Kutoka kundi C, Tanzania inaaga mashindano ikiwa imefungwa jumla ya magoli 8 na kufunga 1 huku ikiwaacha Morocco, Ghana na Gambia wakisonga mbele hatua ya robo fainali.