Ngorongoro wanajengewa nyumba, Hanang pia wasaidiwe ujenzi wa nyumba

Ngorongoro wanajengewa nyumba, Hanang pia wasaidiwe ujenzi wa nyumba

Just imagine wewe ni mwandishi wa habari, umekutana na PM Majaliwa, utathubutu kumuuliza kwanini alitudanganya JPM anachapa kazi wakati ukweli ni alikuwa tayari... ?
P
Statement yako kwamba alikuwa tayari... inaweza ikawa proven ? Unaweza ukaongea chochote au kuuliza chochote kikiwa backed na concrete details / facts otherwise utaitwa muongo na mzandiki...; Sasa nikuulize wewe factual details kwamba alikuwa tayari by the time PM anasema anachapa kazi ni zipi ?..., Na ili uchape kazi inabidi uwe katika hali gani ? na how long does it take from kutokuwa tayari na kuwa tayari ?
 
Statement yako kwamba alikuwa tayari... inaweza ikawa proven ?
Iwe proven for what?, wewe umetonywa mtu wako yuko guest fulani, anashughulikiwa, ukaenda hiyo guest ukasikiliza kwa dirishani ukasikia milio ya shughuli, ukavamia chumba ukawafumania live kama walivyo zaliwa, mtu wako na best friend wako!. Mtu wako akaruka na kukushika usilete fujo huku akikuambia japo ni kweli walitaka kuvunja amri ya 6, ila hawakuvunja!, walikaribiana tuu, na kuchezeana tuu lakini hakuna game, mechi wala show iliyopigwa!, na haikuingia!. Utaamini?, can you prove haikuingia?.
Unaweza ukaongea chochote au kuuliza chochote kikiwa backed na concrete details / facts otherwise utaitwa muongo na mzandiki...;
Baada ya Rais Samia kutangaza tukio limetokea March 17, then huu ndio ukweli wenyewe halisi, ila hakutuzuii sisi Matomaso kuuliza maswali kama haya Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?
Sasa nikuulize wewe factual details kwamba alikuwa tayari by the time PM anasema anachapa kazi ni zipi ?...,
yupo mtu wao pale Mzena alimtonya yule kijana wao wa Uskochi, kijana akapanda live YouTube ile tarehe 12 March!.
Video zipo YouTube mpaka kesho na haijawahi kukanushwa na yeyote mpaka leo ndio maana nikauliza Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

P
 
Iwe proven for what?, wewe umetonywa mtu wako yuko guest fulani, anashughulikiwa, ukaenda hiyo guest ukasikiliza kwa dirishani ukasikia milio ya shughuli, ukavamia chumba ukawafumania live kama walivyo zaliwa, mtu wako na best friend wako!. Mtu wako akaruka na kukushika usilete fujo huku akikuambia japo ni kweli walitaka kuvunja amri ya 6, ila hawakuvunja!, walikaribiana tuu, na kuchezeana tuu lakini hakuna game, mechi wala show iliyopigwa!, na haikuingia!. Utaamini?, can you prove haikuingia?.
Na wewe unaona hicho unachosema hapo ni kama kile kilichotokea ? Hapo ni wewe umeona kwa macho yako kule ni hearsay umeambiwa..., hata kuona unaweza kuambiwa ni hallucination..., kwahio kuna vitu wewe kama second au third party inabidi utumie neno allegedly unless otherwise ulikuwepo..., na circumstantial evidences zinaweza zikawa proven to the contrary...
Baada ya Rais Samia kutangaza tukio limetokea March 17, then huu ndio ukweli wenyewe halisi, ila hakutuzuii sisi Matomaso kuuliza maswali kama haya Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?
Nani amesema usiulize maswali ? nadhani ni wewe ndio uliyesema kwamba unaweza kumuuliza PM kwanini alidanganya kwamba JPM yupo anachapa kazi wakati ilikuwa tayari... Mimi ndio ninakuuliza with such allegation una concrete evidence to the contrary ? (wewe kama wewe na sio ku-connect the dots ambazo mwisho wa siku mtu anaweza akakuruka) na ukaambiwa ni slander.....; Unajuaje with the information he had at such moment kilichotokea sicho kilichotokea ?
yupo mtu wao pale Mzena alimtonya yule kijana wao wa Uskochi, kijana akapanda live YouTube ile tarehe 12 March!.
Video zipo YouTube mpaka kesho na haijawahi kukanushwa na yeyote mpaka leo ndio maana nikauliza Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

P
Kwahio mtonyo wa kijana wa Mzena na Video kuwepo YouTube mpaka leo hazijafutwa ndio proof unayokuja nayo ? Sijasema hicho unachosema hakikutokea wala hakiwezi kutokea (after all wanasiasa na uongo ni pete na kidole) nachosema ni wewe kudhani una proof kilichotokea kilikuwa kishatokea wakati PM anasema anayosema....
 
Na wewe unaona hicho unachosema hapo ni kama kile kilichotokea ? Hapo ni wewe umeona kwa macho yako kule ni hearsay umeambiwa..., hata kuona unaweza kuambiwa ni hallucination..., kwahio kuna vitu wewe kama second au third party inabidi utumie neno allegedly unless otherwise ulikuwepo..., na circumstantial evidences zinaweza zikawa proven to the contrary...

Nani amesema usiulize maswali ? nadhani ni wewe ndio uliyesema kwamba unaweza kumuuliza PM kwanini alidanganya kwamba JPM yupo anachapa kazi wakati ilikuwa tayari... Mimi ndio ninakuuliza with such allegation una concrete evidence to the contrary ? (wewe kama wewe na sio ku-connect the dots ambazo mwisho wa siku mtu anaweza akakuruka) na ukaambiwa ni slander.....; Unajuaje with the information he had at such moment kilichotokea sicho kilichotokea ?

Kwahio mtonyo wa kijana wa Mzena na Video kuwepo YouTube mpaka leo hazijafutwa ndio proof unayokuja nayo ? Sijasema hicho unachosema hakikutokea wala hakiwezi kutokea (after all wanasiasa na uongo ni pete na kidole) nachosema ni wewe kudhani una proof kilichotokea kilikuwa kishatokea wakati PM anasema anayosema....
Nadhani itoshe!, as long as yuko peponi mbinguni kwa Baba yake, tumwache apumzike. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
 
Back
Top Bottom