Ngosha nae kaamua kuingia huku

Ngosha nae kaamua kuingia huku

NGARUKA

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2014
Posts
401
Reaction score
70
Nlipokuwa chuo kuanzia 2010 rafiki yangu mwanyeji wa Dar alipenda sana kutumia JF wakati huo mimi nikitumia sana Mjengwa. Basi bwana tukaambukizana mi pia nikaapenda Jf na kwa mjengwa. Baada ya kutumia kwa muda mrefu sasa nmekuja mzimamzima.
Mwadela member wote wa JF
 
nashukuru katavi ndo nimeingia hvyo.
mwangaluka bhabha
 
Tuliho nkoi ha JF tulye busega.............
 
wabheja Ulikamafu. one nkaragwa mandenge uke yaya obhusiga.
tehetehetehe
 
Mwangaluka nkhoi Ngosha(sijui nmepatiaa! Mwee)



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom