daniel sr. lighton
Member
- Feb 12, 2013
- 27
- 6
habari yenu.
ni matumaini yangu wote tu wazima.ningependa kuuliza je mtu kubabuka ngozi sehemu kama shingoni kuna uwezekano joto likawa ni sababu kubwa endapo mtu huyo amebadili mazingira kwa mara ya kwanza toka sehemu zenye baridi na kwenda kwenye joto?
ni matumaini yangu wote tu wazima.ningependa kuuliza je mtu kubabuka ngozi sehemu kama shingoni kuna uwezekano joto likawa ni sababu kubwa endapo mtu huyo amebadili mazingira kwa mara ya kwanza toka sehemu zenye baridi na kwenda kwenye joto?