Ngozi ngumu viganjani na miguuni

Ngozi ngumu viganjani na miguuni

Wakuu mimi ni kijana ninayefanya kazi za ofisini (Afisa manunuzi katika kampuni mojawapo hapa Mkoani Singida)
ninatatizo la kuwa na ngozi ngumu sana za viganja na unyayo kanakwamba mtu nikishikana naye anaona kama mimi ni mkulima wakati kazi ya ukulima niliachana nayo miaka ya 2004 huko Songwe.
Ninaomba msaada kwa anayejua dawa ya kuweza kuilainisha.
Ninatanguliza shukrani.
We unaonekana ulikua mkulima, so don worry hamna dawa, usije ukaanza kujichubua km wapaka mafuta makalioni
 
Si wanasema mwanaume anasifiwa kuwa na ngozi ngumu ili awe tofauti na mtoto wa like, sasa mbona wataka laini?
 
Hyo ndo ngozi ya kiume ya mwanaume wa ukweli....mwanaume unataka kuwa na ngozi nyororo!!!??
 
Back
Top Bottom