Ngozi nyeusi ni laana?

Ngozi nyeusi ni laana?

Story za kujitungia vijiweni kwa lengo moja tu, la kuwadhihaki na kuwatukana Waafrika kwa sababu za rangi ya ngozi yao.

================

Si ajabu mama zenu wanakata viuono kila wakisikia midundo ya ngoma za watu wenye Ngozi nyeusi. Itoshe Labda mimba za mama zenu wote , ambao wana laana, mimba zilitunga wakisikiliza nyimbo za "wenye ngozi nyeusi"
😂😂😂😂😂😂

JamiiForums is now a Home of Bigoted, Racist Twaats.
Kisu kimegusa mfupa....!
 
Hapa mwenye makosa ni mwenye shamba. Unalima.kwa simu alafu unalaumu watu?

Usijaribu kuweka huyo Muhindi sijui Mchina au Mwarabau. Atajitahidi kwa figisu na fitna atakazofanyiwa hadi akakimbia.

Kuna wazungu fulani wana mashamba yao kule Iringa. Wakaajiri Mzimbabwe kama farm meneja. Hahahaa yule jamaa hana hamu na watanzania. Akaondoka akaleta Mzimbabwe mwingine, naye hata miezi 3 hajamaliza kuondoka.

Kosa kubwa ni yule.mzee wa kizungu kila mara ni mguu na njia kwao. Jamaa wanampiga tu, so wametengeneza syndicate yao ya upigaji.

Kwenye kilimo wanaamini, Pembejeo ya kwanza ni wewe mwenyewe. Sasa we hushinda shambani unategemea watakufanyika kazi kwa mshahara unaowalipa? 😀😀
Bila shaka hii ni farm for the future
 
Story za kujitungia vijiweni kwa lengo moja tu, la kuwadhihaki na kuwatukana Waafrika kwa sababu za rangi ya ngozi yao.

================

Si ajabu mama zenu wanakata viuono kila wakisikia midundo ya ngoma za watu wenye Ngozi nyeusi. Itoshe Labda mimba za mama zenu wote , ambao wana laana, mimba zilitunga wakisikiliza nyimbo za "wenye ngozi nyeusi"
😂😂😂😂😂😂

JamiiForums is now a Home of Bigoted, Racist Twaats.
 
Mungu ametenda wakati umeibiwa !! katika hii story naona huyo mmiliki ndo mjinga na hao Wezi ndo wajanja.
Watu wema tunaponzwa na mengi.. Unajitahidi Kusaidia unaonekana mpumbavu
Kwani huwezi kuroga hayo mashamba na utaalamu unao? Watanzania hatuko serious na kitu chochote. Usije ukamuona mtu anavyoongea ukadhani anamaanisha.

Tumejaa uongo uongo mpaka tumeanza kujidanganya wenyewe
Siwezi kuroga mkuu mimi sio mchawi na hii simulizi sio yangu nimeiweka hapa kama mjadala.. Asante🙏🏿
 
Prof. Minzi na wengine!

Sijui kama Waafrika kuna siku tuta endelea na kufanikiwa kama wenzetu wazungu, wahindi, wachina, waarabu, nk. We seem to be at the lowest thinking, intellectual and moral level. Kwa nini nasema hivyo?

Nimewekeza hela nyingi sana kununua mashamba Mkoa wa Rukwa wilaya ya Kalambo about 2,000 acres.

Nimeajiri na nalipa mishahara mizuri kila mwezi for the second year! Sijaweza hata kuvuna kuanza kurudisha hela nilizowekeza. Wanapata malazi na chakula bure nje ya misharaha yao kwenye kambi ambayo nimejenga nyumba kadhaa, nimewekeza matrekta ya kilimo na mwaka huu ilikuwa tulime 500 acres kwa kuanzia. mafuta wanatumiwa, fedha za matumizi madogo madogo wanatumiwa.

viongozi ni watu wazima wa elimu ya chuo kikuu nikifikiri natoa ajira kwa waafrika wenzangu. Wapo wafanyakazi kama 50 wote kila mwezi wana mishahara na kula na kulala bure kwani ni mbali na mjini.

İli kusimamia nilimweka mtoto wangu wa kiume asimamie baada ya masomo ya diploma, nikamwondoa baadaye aweze kupata exposure kwenye miradi mingine. Nilimweka mpaka mchungaji rafiki yangu wa siku nyingi awe anatupia jicho la pembeni kwenye kijiji cha jirani na namlipa allowance kwa mwezi ila sio mfanyakazi.

To my surprise, kumbe wamejenga syndicate kubwa mno kati yao viongozi na operators wa trekta na hasa baada ya kumtoa mtoto wangu kwenye kazi zingine nikimwachia uongozi kijana mwingine ambaye nilipewa na mpendwa kanisani graduate wa UDOM wa zaidi ya 5 years experience ambaye kwenye interview showed quite good command of leadership.

Kumbe kwa siri, wameanzisha vijishamba vyao wanalima kwa mafuta yangu ninayowatumia; wanalima mashamba ya wenyeji kwa hela SH. 70,000 kwa ekari na fedha wanagawana kwa siri; matrekta yangu yote mawili yameharibikia kwenye mashamba ya kulimia watu kupata hela, muda wa kulima shamba langu hawana, shamba langu nililopanga kulima 500 acres this year, Limelimwa only 50 acres na matrekta yasingeharibikia huko wangelima hekari zaidi ya 200, ambazo zimethibitishwa kulimwa; gari yangu ya shamba Canter imekatika chasis kumbe wanafanya biashara ya kubebea watu mazao, kokoto na mawe kwa kulipwa hela wanazo pocket kwa kugawana bila sisi kujua na walifanya siri kubwa.

Nilisukumwa kuomba na kufunga for 3 days last week na sasa nipo kwenye maombi ya wiki nzima ya kufunga nikizidi kuomba ustawi na mafanikio kwenye kazi za mikono yangu.

Kwenye migao yao ya fedha za siri mmoja inaelekea hakuridhika na utaratibu wa mgawanyo akiona anapunjwa, walipoona anasumbua wakamfitini na kumfukuza kazi.
Ndiye baadaye aliyeanika syndicate yote ambayo kumbe mpaka mchungaji wa pale niliyemwamini sana sana naye yumo!😭😭

Nikimuuliza mchungaji huyo, kulikoni yote haya yanayotokea na yeye akiwamo kuhusu, aliishia kuwa na kigugumizi na ameshindwa kabisa hata kujitetea amebaki kuomba samahani!!!!

Waafrika tunaenda wapi jamaniii!!!😭😭😭
Umaskini kweli utaondoka kwa kuwa na roho chafu na mbaya kiasi hiki kweli. Hivi kama sio wokovu nilionao, watu kama hao akipigwa risasi na mwekezaji mwingine kama mimi, tutamlaumu hawa wezi, walafi, watu wasio na soni wala huruma kama hawa kweli?

Nimejinyima miaka yangu yote mpaka uzeeni ili niweke urithi kwa vizazi vyangu, nijisikie nilipambana wajukuu waje kuanzia maisha bora zaidi ya yale tuliyoishi sisi, tunaishia kuwekeza kwa wezi vijana wasio na roho kiasi hiki.

Nimeshea hili ili kama taifa tujitafakari tunakwenda wapi kwa kizazi hiki tulichonacho. Hawa ndio tunaowatengeneza wawe viongozi wa kitaifa, nchi itaweza kusogea kwa mentality ya jinsi hii.

Binafsi nimeamua kutafuta ku-employ Indians or Chinese kuendesha miradi yangu, nimechoka na waswahili acha waendelee kuwa vibarua na watumwa milele na laana zao.

Waafrika tusiporudi kumtafuta na kumwinamia Mungu kwa dhamira ya dhati mioyoni mwetu, laana ya umaskini na utumwa itaendelea kututafuna milele mpaka mwisho wa dunia

Nawashuhudia nyote kwamba Maombi yanafunua hata yaliyo sirini yaliyojificha. Mungu anaangalia dhamira iliyo safi mbele zake na humwekea ulinzi mja wake, kwenye hili, binafsi nimemuona Mungu akitenda.

Glory be to God The Almighty! 🙏🏾🙏🏾

mrangi
Solution yake inashangaza.

Kumrudia Mungu?!
Mungu gani sasa? Mbona hao wachina na Indians wenye ufanisi na anaotaka kuwaajiri hawamjui huyo Mungu anaemsemea? Nafikiri yeye ndio ana matatizo.

Anatakiwa ajue solution ya changamoto hizi siyo kumrudia Mungu.

Pathetic!
 
Sijasoma yote ila kuna vitu nimenote;
1.Umeanzisha mradi mkubwa kwa mkupuo bila maandalizi thabiti, hapo kufeli ni kugusa.

2. Unamwamini vipi binadamu mwenzako kwa sababu za ajabu kabisa eti huyu mchungaji😄😄😄😄 dini is just a very big hoax.

3. Unapenda ubwenyenye hivi unawezaje ukawa unaspend pesa kiasi hicho wahenyeke wenzako ww upo mjini unakula bata hivi unadhani hata hao wazungu wanahuo ujinga ww ukae mbali huko usitapeliwe.

4.Mradi wowote ni hatua anza mradi wako katika small scale ujue mradi stick na mradi mmoja ukikua ndo uanzishe mwingine.

5.Unatumia sana maneno ya kutaka upewe huruma kuwa umeonewa, big NO wewe hujaonewe dunia imejaribu kukufunza the HARD WAY huwenda uliweza kufuata utaratibu wote wa kuanzisha kampuni ila ukaleta USWAHIBA( KUWALALIA) hao makabwela unaodai unawalipa wasio na ujuzi wowote wala vision towards huo mradi,no way out utapata faida.

6.Unarudia makosa ya kila siku kuamini mtu akifika chuo kikuu anakuwa EXTRA ORDINARY GENIUS😆😆😆 Lazima uangukie pua, hao wasomi wa vyuo vingi most walienda chuo kukua and infact unazungumzia vyuo hivi majalalani and the like hapo lazima upate matokeo mujarabu kabisa🤗

7.Acha ubwanyeynye hilo shamba lako halijafikia hatua ya kujiendesha,ingia ground vaa boot simamia mradi DO or DIE,,, Unless otherwise hii ni chai kufurahisha bongo zetu na ndoto za kumiliki ESTATE.
 
Mungu ametenda wakati umeibiwa !! katika hii story naona huyo mmiliki ndo mjinga na hao Wezi ndo wajanja.
Watu wema tunaponzwa na mengi.. Unajitahidi Kusaidia unaonekana mpumbavu
Kwani huwezi kuroga hayo mashamba na utaalamu unao? Watanzania hatuko serious na kitu chochote. Usije ukamuona mtu anavyoongea ukadhani anamaanisha.

Tumejaa uongo uongo mpaka tumeanza kujidanganya wenyewe
Siwezi kuroga mkuu mimi sio mchawi na hii simulizi sio yangu nimeiweka hapa kama mjadala.. Asante
 
Story za kujitungia vijiweni kwa lengo moja tu, la kuwadhihaki na kuwatukana Waafrika kwa sababu za rangi ya ngozi yao.

================

Si ajabu mama zenu wanakata viuono kila wakisikia midundo ya ngoma za watu wenye Ngozi nyeusi. Itoshe Labda mimba za mama zenu wote , ambao wana laana, mimba zilitunga wakisikiliza nyimbo za "wenye ngozi nyeusi"
😂😂😂😂😂😂

JamiiForums is now a Home of Bigoted, Racist Twaats.
yawezekana ikawa story ya kutunga lkn linapo kuja swala la uaminifu kwa tz (ninao uzoefu) tunayo shida kubwa sana.
 
Pamoja na namna mtakavyosema, kuhusu hii mada, lakini huo ndio ukweli Mtu mweusi haamini kabisa, inawezekana ni kweli mwenye mradi alizembea katika hilo, lakini haliondoi huo ukweli kwa waafrika hasa sisi watanzania kwenye suala la uwajibikaji na uadilifu ni sifuri kabisa, tutalalamika sana hatuajiriki
 
Miradi mikubwa yote kama
SGR
Mwendokasi
Airports
Bandari
Bwawa la umeme,
nk nk
Baada ya miaka kati ya 5 mpaka 7 ijayo, itakuwa chini ya usimamizi na uendeshaji wa Ngozi nyeupe. Wahindi, waarabu, wachina, wakorea.
Na tukiweza tuwape na wizara, idara pia
Mpaka sasa sijaona ni eneo gani hasa mtu mweusi ana faa/anafanya kwa mafanikio.(labda uchawa)

#Pengine ni kweli shetani ni Mweusi!
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the apartheid era.
 
Prof. Minzi na wengine!

Sijui kama Waafrika kuna siku tuta endelea na kufanikiwa kama wenzetu wazungu, wahindi, wachina, waarabu, nk. We seem to be at the lowest thinking, intellectual and moral level. Kwa nini nasema hivyo?

Nimewekeza hela nyingi sana kununua mashamba Mkoa wa Rukwa wilaya ya Kalambo about 2,000 acres.

Nimeajiri na nalipa mishahara mizuri kila mwezi for the second year! Sijaweza hata kuvuna kuanza kurudisha hela nilizowekeza. Wanapata malazi na chakula bure nje ya misharaha yao kwenye kambi ambayo nimejenga nyumba kadhaa, nimewekeza matrekta ya kilimo na mwaka huu ilikuwa tulime 500 acres kwa kuanzia. mafuta wanatumiwa, fedha za matumizi madogo madogo wanatumiwa.

viongozi ni watu wazima wa elimu ya chuo kikuu nikifikiri natoa ajira kwa waafrika wenzangu. Wapo wafanyakazi kama 50 wote kila mwezi wana mishahara na kula na kulala bure kwani ni mbali na mjini.

İli kusimamia nilimweka mtoto wangu wa kiume asimamie baada ya masomo ya diploma, nikamwondoa baadaye aweze kupata exposure kwenye miradi mingine. Nilimweka mpaka mchungaji rafiki yangu wa siku nyingi awe anatupia jicho la pembeni kwenye kijiji cha jirani na namlipa allowance kwa mwezi ila sio mfanyakazi.

To my surprise, kumbe wamejenga syndicate kubwa mno kati yao viongozi na operators wa trekta na hasa baada ya kumtoa mtoto wangu kwenye kazi zingine nikimwachia uongozi kijana mwingine ambaye nilipewa na mpendwa kanisani graduate wa UDOM wa zaidi ya 5 years experience ambaye kwenye interview showed quite good command of leadership.

Kumbe kwa siri, wameanzisha vijishamba vyao wanalima kwa mafuta yangu ninayowatumia; wanalima mashamba ya wenyeji kwa hela SH. 70,000 kwa ekari na fedha wanagawana kwa siri; matrekta yangu yote mawili yameharibikia kwenye mashamba ya kulimia watu kupata hela, muda wa kulima shamba langu hawana, shamba langu nililopanga kulima 500 acres this year, Limelimwa only 50 acres na matrekta yasingeharibikia huko wangelima hekari zaidi ya 200, ambazo zimethibitishwa kulimwa; gari yangu ya shamba Canter imekatika chasis kumbe wanafanya biashara ya kubebea watu mazao, kokoto na mawe kwa kulipwa hela wanazo pocket kwa kugawana bila sisi kujua na walifanya siri kubwa.

Nilisukumwa kuomba na kufunga for 3 days last week na sasa nipo kwenye maombi ya wiki nzima ya kufunga nikizidi kuomba ustawi na mafanikio kwenye kazi za mikono yangu.

Kwenye migao yao ya fedha za siri mmoja inaelekea hakuridhika na utaratibu wa mgawanyo akiona anapunjwa, walipoona anasumbua wakamfitini na kumfukuza kazi.
Ndiye baadaye aliyeanika syndicate yote ambayo kumbe mpaka mchungaji wa pale niliyemwamini sana sana naye yumo!😭😭

Nikimuuliza mchungaji huyo, kulikoni yote haya yanayotokea na yeye akiwamo kuhusu, aliishia kuwa na kigugumizi na ameshindwa kabisa hata kujitetea amebaki kuomba samahani!!!!

Waafrika tunaenda wapi jamaniii!!!😭😭😭
Umaskini kweli utaondoka kwa kuwa na roho chafu na mbaya kiasi hiki kweli. Hivi kama sio wokovu nilionao, watu kama hao akipigwa risasi na mwekezaji mwingine kama mimi, tutamlaumu hawa wezi, walafi, watu wasio na soni wala huruma kama hawa kweli?

Nimejinyima miaka yangu yote mpaka uzeeni ili niweke urithi kwa vizazi vyangu, nijisikie nilipambana wajukuu waje kuanzia maisha bora zaidi ya yale tuliyoishi sisi, tunaishia kuwekeza kwa wezi vijana wasio na roho kiasi hiki.

Nimeshea hili ili kama taifa tujitafakari tunakwenda wapi kwa kizazi hiki tulichonacho. Hawa ndio tunaowatengeneza wawe viongozi wa kitaifa, nchi itaweza kusogea kwa mentality ya jinsi hii.

Binafsi nimeamua kutafuta ku-employ Indians or Chinese kuendesha miradi yangu, nimechoka na waswahili acha waendelee kuwa vibarua na watumwa milele na laana zao.

Waafrika tusiporudi kumtafuta na kumwinamia Mungu kwa dhamira ya dhati mioyoni mwetu, laana ya umaskini na utumwa itaendelea kututafuna milele mpaka mwisho wa dunia

Nawashuhudia nyote kwamba Maombi yanafunua hata yaliyo sirini yaliyojificha. Mungu anaangalia dhamira iliyo safi mbele zake na humwekea ulinzi mja wake, kwenye hili, binafsi nimemuona Mungu akitenda.

Glory be to God The Almighty! 🙏🏾🙏🏾

mrangi
Aisee huu ni zaidi ya uchawi kwa huu Ujinga wanaofanya hao
 
Jomba una hela kinyama.. kulipa watu zaidi ya 50 mishahara kwa mwaka huku huingizi kitu sio mchezo..!! Ingawa uzi umekaa kama CHAI fulani hivi ila ni kweli kwenye hizi biashara watu wanaibiwa balaa. Kuna kampuni kubwa sana TZ ipo karibu na Kisutu kituo cha mwendokasi niligundua kuanzia mlinzi mlangoni hadi mhasibu ni mtandao mmoja wa wizi. Tena yule cashier mdada anayeaminika zaidi na boss ndo kiongozi wa huo mtandao wa wizi. Yaani ukifika pale ni kama wako bize kinyama na kazi ila kumbe kuna mizigo mingine ya wizi inatoka mlinzi anairuhusu tu.
 
Professa kafeli sana. Tatizo halipo kwa wafanyakazi bali kwa yeye profesa.
Mie ndugu yangu mwenyewe ananihujumu sembuse mtu baki . Nilimleta ndugu yangu shambani shamba likaungua na barafu likaungua na moto wakati resource za kuzuia zipo. Ukiondoka nae anaondoka kwenda mashamba ya jirani akafanye vibarua.
Nilimuanzishia mradi wa kuku wa kumsaidia pale shambani akawa anauza kuku na kuzichinja mpaka zikaisha kisha akaanza kununua za kwake nazo zikamshinda.
Niliamua kumrudisha nyumbani, it was just a waste of time and resources.
Niichojifunza ni kuwa kila kitu unatakiwa usimamie mwenyewe japo haiwezekani.
Kwa hio sisi pesa zetu ni za kiwango cha kusimamia wenyewe zikizidi ukahitaji wafanyakaxi basi umetafuta wa kukusaidia kuzila.
Tuombe mungu softcated machine na ROBOT zikamilike haraka ili tuwe tuwe tunaziweka shambani zifanye kazi vinginevyo hatutaendelea kwa kiwango kikubwa.
Usione majitu yana VITAMBI yamejaa maofisini na makanisani ukadhani ni watu wa maana kumbe ni Chui waliovaa ngozi ya kondoo.
 
Back
Top Bottom