Dcxkobe
Member
- Mar 5, 2023
- 57
- 136
Mimi ni mwanaume nina umri wa miaka 29 huwa nasumbuliwa na tatizo la ngozi imefubaa imekujamana sana. Niliwahi sikia punyeto ndio inafanya iwe hivyo sijui labda hilo ndio tatizo maana sasa hivi naonekana kama mzee wa miaka 70.
Sijui nifanyaje kurudisha ngozi yangu sawa iende na sawa.
Sijui nifanyaje kurudisha ngozi yangu sawa iende na sawa.