Jamhuri ndo inaanza hivyo kaeni mtulie hatutaki mipasho
Sisi huku tusha
Sisi tunajua tunavyotuliza hizo mbanga,hao wanatulizwa soon,ila wewe jifungie ndani au sepa
Acha uwoga,hakuna mtu anasupport kuchomana visu,ila unatakiwa ufanye mazoezi kijana kwa mtu anayejiwez hawenzi kuja huku jf kulalamikaUkakamavu, ujasiri haupimwi kwa ukorofi wa kuchomana bisibisi na beto chalii. Watu wa pwani kama JK unawaonaje? JPM wa kanda ya ziwa? Mkapa wa umakondeni? Nyerere? Hawa ukorofi wanaujua ndo maana wakafika katika hizo nafasi za juu za nchi.
Walevi hao wanawatishia kazi kuolewa na wazungu mbwiga nyie.Unataka tubadilike tuwe mashoga kama nyie??auntupake poda kama nyie na kuvaa vikuku wanaume laini laini oya usije bongonyo utatekwa baki dar
Mbona America hivyo vitu vipo na wame elimika sanaNaifahamu Arusha na hayo maeneo nayaelewa na nimeyaishi na kufanya mambo mengi.
Vp mshaachana na tabia ya kuning'iniza viatu kwenye nyaya za umeme? Nightmares bado wapo? Kina nakos enzi za stand ipo metropole bado ni tishio? Wanaapolo na baja mara ya mwisho umewaona lini?
Jamii korofi inapoteza mengi. Binadamu wa sasa akili ndo kipaumbele, ukileta ukorofi unapoteza.
DUNIA INABADILIKA.
Mbona umekimbia dar ,walevi hao miili hawana kuchapa makofi waambie waje huku ..bhangi zinawasumbua nyote waoga kupiga kelele tu humu😂Hao wanaiba mchana kweupe alafu wapo wa 3 au 4 kibabe yani ukiwasogelea hawatoi kisu unapigwa ma wash ya shingo sio panya road wanatembea na marungu na mapanga tena wapo rundo sana kama wanatoka msibani
Khaaa mzee nakuja dar alhamis,nafikia mabibo Barcelona nataka tuonane ilintujue mwamba nani,mimi naomba paring la watu wawili hata kama nauli huna nakutumia,huwa mimi natafutaga sparing kama upo tayari sawaMbona umekimbia dar ,walevi hao miili hawana kuchapa makofi waambie waje huku ..bhangi zinawasumbua nyote waoga kupiga kelele tu humu😂
Nilifikaga MatejooNimeishi Arusha zaidi ya miaka mitano sasa, mimi Kuna sehemu nyingi sana hasa uswazi uswazi sijawahi kufika . Kuna bomu la uhalifu limeanza kulipuka na tusiombee iwe Kama Ile Arusha ya Miaka Ile haipiti mwezi bila kusikia habari mbaya za tukio au matukio ya uhalifu mkubwa. Arusha vijana Wana usela nya sana , mabange halafu hawana shunguli za kufanya. Unga limited sijawahi kushuka nje ya gari, Ngulee ndio hiyo , daraja mbili , matejoo yaani
Mwambie akutembeze bongonyo??ukaone arusha ilivyoNilifikaga Matejoo
Ilikuwa mchana lakini nilikuwa naogopa.. nikamwambia yule rafiki usirudie kunileta sehemu za hivi.
Nikafikaga pia Morombo, ule mtaa nishausahau.. mwenyeji kanambia shuka sheli flan, namwambia mbona watu wengi hivi aisee.. yan vijana vijana wamekaa tu bila mpangilio 🙌
Sakina nikaishigi kiasi, pako tu kawaida..
Me naiona ya kawaida, labda sababu sio kizurure wa usiku..Arusha kume kuwa hovyo sana, nimeacha hata kwenda Picnic maeneo ya makao mapya kwa sababu Kuna wajinga wapo kupanga uhalifu tu yaani ukitoka na gari wanaweza kukufuata na bodaboda wakakublock Kama itakuwa unapita Barabara kichaa na ikiwa ni mida mibovu
Ndio wapi huko?Mwambie akutembeze bongonyo??ukaone arusha ilivyo
Kama u naenda daraja 2 yani huku ni noma kama upo chugah niambie nije kukuchukua lini nikutembezeNdio wapi huko?
Hata daraja mbili sijui mnapitia njia gani…Kama u naenda daraja 2 yani huku ni noma kama upo chugah niambie nije kukuchukua lini nikutembeze
Huko huko ila unachepuka barabara ya vumbi huku chini ya reliHata daraja mbili sijui mnapitia njia gani…
Najua Ungalimi mnashukia barabara ya NSK Hosp..
Mambo za chocho kwa chocho siwezi 😂Huko huko ila unachepuka barabara ya vumbi huku chini ya reli
Huko na master acha uwogaMambo za chocho kwa chocho siwezi 😂
Kuna siku nilimsindikiza mtu White Rose, ile pembeni ya Kokoriko Anex unapandisha juu..
Barabara ina mishe mishe ile hadi unaweza hisi muda wowote naibiwa
Boss, Nachosema ujasiri, ukakamavu uendane na matumizi sahihi ya akili.Mbona America hivyo vitu vipo na wame elimika sana
Sipigani na walevi ..usije kunifia baki kwenu ,huku ushamba hatutaki.Khaaa mzee nakuja dar alhamis,nafikia mabibo Barcelona nataka tuonane ilintujue mwamba nani,mimi naomba paring la watu wawili hata kama nauli huna nakutumia,huwa mimi natafutaga sparing kama upo tayari sawa
Huko si ndio vijana mnavuliwa sana ubingwa na wazunguUnataka tubadilike tuwe mashoga kama nyie??auntupake poda kama nyie na kuvaa vikuku wanaume laini laini oya usije bongonyo utatekwa baki dar
Wewe muoga acha umama,niambie ulipo hata uwe na tag ya washikaji zako mimi siwazi,wewe niambie ulipo,mimi sitakagi maneno ya kikuda nataka nitoe funzo kwa wajinga wajinga kama wewe,oya mimi siwazi dingi nakuchapia kwenu tena mbele ya mama yako au demu wako unakula makofi naufanyi cho chote sema ulipo nije wewe chokoSipigani na walevi ..usije kunifia baki kwenu ,huku ushamba hatutaki.
We fala uje kunipa kesi ya mauaji bure.mwenyewe Maisha yashakushinda kafie mbele...Wewe muoga acha umama,niambie ulipo hata uwe na tag ya washikaji zako mimi siwazi,wewe niambie ulipo,mimi sitakagi maneno ya kikuda nataka nitoe funzo kwa wajinga wajinga kama wewe,oya mimi siwazi dingi nakuchapia kwenu tena mbele ya mama yako au demu wako unakula makofi naufanyi cho chote sema ulipo nije wewe choko