Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Jamhuri ndo inaanza hivyo kaeni mtulie hatutaki mipasho
Sisi huku tusha
Sisi tunajua tunavyotuliza hizo mbanga,hao wanatulizwa soon,ila wewe jifungie ndani au sepa
Naifahamu Arusha na hayo maeneo nayaelewa na nimeyaishi na kufanya mambo mengi.
Vp mshaachana na tabia ya kuning'iniza viatu kwenye nyaya za umeme? Nightmares bado wapo? Kina nakos enzi za stand ipo metropole bado ni tishio? Wanaapolo na baja mara ya mwisho umewaona lini?
Jamii korofi inapoteza mengi. Binadamu wa sasa akili ndo kipaumbele, ukileta ukorofi unapoteza.
DUNIA INABADILIKA.