DOKEZO Ngulelo, Arusha: Majambazi wanavunja mchana kweupe

DOKEZO Ngulelo, Arusha: Majambazi wanavunja mchana kweupe

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Msicheke na majambazi wekeni kikao chini ya kiongozi wa mtaa mfanye kazi wenyewe msubiri police
 
Nimeishi Arusha zaidi ya miaka mitano sasa, mimi Kuna sehemu nyingi sana hasa uswazi uswazi sijawahi kufika . Kuna bomu la uhalifu limeanza kulipuka na tusiombee iwe Kama Ile Arusha ya Miaka Ile haipiti mwezi bila kusikia habari mbaya za tukio au matukio ya uhalifu mkubwa. Arusha vijana Wana usela nya sana , mabange halafu hawana shunguli za kufanya. Unga limited sijawahi kushuka nje ya gari, Ngulee ndio hiyo , daraja mbili , matejoo yaani
Huko ndo wanajiita machalii, basi polisi wajipange mapema kuthibiti magenge hayo ya uhalifu..........nimekaa Dar zaidi ya miaka kumi sijawahi kuchomolewa kitu chochote mfukoni. Lakini Arusha wiki tu nikachomolewa mfukoni na baada ya wiki wakafanya tena jaribio la kutaka kunichomolea. Nilivyouliza wenyeji wanacheka tu wanasema tena uliweka hapo sebuleni kwenye mfuko wa shati, naona vile vigari vyao vinabeba wezi ambao wanakuwa na syndicate na madereva na makonda, halafu akina mama wanakwapuliwa mikoba sana hasa mida ya jioni pale stendi....huo mji unatakiwa uangaliwe kwa umakini sana kiusalama.​
 
Kila kitu kimerudi kwa kasi ya kisuri suri...
 
Hicho kituo cha polisi hapo Nazareth kama huwa sikielewi elewi hivi, yaani ni kama kituo flani cha polisi kipo pale kituo cha daladala cha skuli - Unguja njia ya kuelekea jku, kama mgeni huwezi kujua kuna askali au ni nyumba ya nini, hadi utakaposima maandishi "kituo kidogo cha polisi"
 
Huko ndo wanajiita machalii, basi polisi wajipange mapema kuthibiti magenge hayo ya uhalifu..........nimekaa Dar zaidi ya miaka kumi sijawahi kuchomolewa kitu chochote mfukoni. Lakini Arusha wiki tu nikachomolewa mfukoni na baada ya wiki wakafanya tena jaribio la kutaka kunichomolea. Nilivyouliza wenyeji wanacheka tu wanasema tena uliweka hapo sebuleni kwenye mfuko wa shati, naona vile vigari vyao vinabeba wezi ambao wanakuwa na syndicate na madereva na makonda, halafu akina mama wanakwapuliwa mikoba sana hasa mida ya jioni pale stendi....huo mji unatakiwa uangaliwe kwa umakini sana kiusalama.​
Kuna vijana hawafanyi kazi, ni wakorofi,wababe,wapenda starehe ndio wanaosumbua watu.

Police wakishirikiana na jamii husika,mbona watawadaka chap..
 
jambaz anapesa nyingi za kuihonga police na akatolewa jion
 
Nimeishi Arusha zaidi ya miaka mitano sasa, mimi Kuna sehemu nyingi sana hasa uswazi uswazi sijawahi kufika . Kuna bomu la uhalifu limeanza kulipuka na tusiombee iwe Kama Ile Arusha ya Miaka Ile haipiti mwezi bila kusikia habari mbaya za tukio au matukio ya uhalifu mkubwa. Arusha vijana Wana usela nya sana , mabange halafu hawana shunguli za kufanya. Unga limited sijawahi kushuka nje ya gari, Ngulee ndio hiyo , daraja mbili , matejoo yaani
Wewe kweli unaijua sana Arusha.Huo ndo ukweli vijana wa kule usela wa kijinga miaka nenda miaka rudi wako ivyo hawabadiliki
 
Hapo vip!

Kipindi hichi imekuwa ni kipindi hatari sana kuliko nyakati zote. Kipindi hichi jambazi anakamatwa asubuhi, jioni yupo kitaa.

Hapa Ngulelo Arusha, majambazi wamekuwa ni kero, wanavunja vunja maduka wa wafanyabiashara, kwa siku wanaweza kuvuja hata maduka manne pasipo kumuogopa mtu.

Juzi wamevunja maduka maeneo ya njia ya ng'ombe bila woga. Nimesikia pia maeneo ya Ngulelo, wamevunja maeneo kadha wa kadha.

Kama mwananchi wa kawaida nina imani na jeshi la police na wakiamua wanaweza sana tu, ila sijajua changamota ipo wapi kwa sasa.
CCM
 
😂😂unalialia nn ? Si mlisema mnawawezi baada ya ishu ya panyaroad
Hao wanaiba mchana kweupe alafu wapo wa 3 au 4 kibabe yani ukiwasogelea hawatoi kisu unapigwa ma wash ya shingo sio panya road wanatembea na marungu na mapanga tena wapo rundo sana kama wanatoka msibani
 
Nimeishi Arusha zaidi ya miaka mitano sasa, mimi Kuna sehemu nyingi sana hasa uswazi uswazi sijawahi kufika . Kuna bomu la uhalifu limeanza kulipuka na tusiombee iwe Kama Ile Arusha ya Miaka Ile haipiti mwezi bila kusikia habari mbaya za tukio au matukio ya uhalifu mkubwa. Arusha vijana Wana usela nya sana , mabange halafu hawana shunguli za kufanya. Unga limited sijawahi kushuka nje ya gari, Ngulee ndio hiyo , daraja mbili , matejoo yaani
Mzee usije shuka ungalimited au daraja 2 kama unaroho yako hiyo ya uwoga,huku tunaishi manunda,ambao tunaweza jitetea hata wakija sita wanakalishwa,hivi unapajua bongonyo wewe??mzee usije huku khaaa huko huko aisee
 
Mzee usije shuka ungalimited au daraja 2 kama unaroho yako hiyo ya uwoga,huku tunaishi manunda,ambao tunaweza jitetea hata wakija sita wanakalishwa,hivi unapajua bongonyo wewe??mzee usije huku khaaa huko huko aisee
Hili sio jambo la kujivunia. Mnapaswa mdhibiti uhalifu. Maendeleo ni watu, Jamii haiwezi kupata fikra mpya kama vijana wake wanawaza kuuana, kuchinjana na kupigana.
 
Si mmesema mna jamuhuri yenu huko ya watu wa arusha na moshi?
Pambanenei sasa
Jamhuri ndo inaanza hivyo kaeni mtulie hatutaki mipasho
Hili sio jambo la kujivunia. Mnapaswa mdhibiti uhalifu. Maendeleo ni watu, Jamii haiwezi kupata fikra mpya kama vijana wake wanawaza kuuana, kuchinjana na kupigana.
Sisi huku tusha
Hili sio jambo la kujivunia. Mnapaswa mdhibiti uhalifu. Maendeleo ni watu, Jamii haiwezi kupata fikra mpya kama vijana wake wanawaza kuuana, kuchinjana na kupigana.
Sisi tunajua tunavyotuliza hizo mbanga,hao wanatulizwa soon,ila wewe jifungie ndani au sepa
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Unataka tubadilike tuwe mashoga kama nyie??auntupake poda kama nyie na kuvaa vikuku wanaume laini laini oya usije bongonyo utatekwa baki dar
Ukakamavu, ujasiri haupimwi kwa ukorofi wa kuchomana bisibisi na beto chalii. Watu wa pwani kama JK unawaonaje? JPM wa kanda ya ziwa? Mkapa wa umakondeni? Nyerere? Hawa ukorofi wanaujua ndo maana wakafika katika hizo nafasi za juu za nchi.
 
Back
Top Bottom