hata yeye mwenyewe nahisi haijui miaka yake. kweli kiazi huyu le mutuz mashati makubwazzz kama pazia la mlangoniKwani huyu jamaa atakuwa na miaka mingapi hivi.....??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daah hzo komenti zimenivunja mbavu.chakufurahisha ni jamaa alivyo na confidence,yaan anajiona yuko sawa kabisaNguli limetulia kwanza mpaka ifike page ya 10 lije kuwasuta halafu litoe ratiba wapi litakuwepo next kula breakfast baada ya kazi ngumu ya ku post mapicha mtandaoni
Atakuwaje na stress wakati hata paka waku make ssure kama amepata maziwa hana,yeye stress yake ni lini weekend itafika,aende akapige picha na mabebs,u know what I mean!!Le Mutuz hana stress na ndio maana ananenepeana hovyo!!!