Nguli la mitandao ya kijamii ladai Wakenya wanamshobokea

Nguli la mitandao ya kijamii ladai Wakenya wanamshobokea

mungu amsamehe tu huyu babu hajui atendalo hapo anajiona bado mtoto na anaiga style ya mavazi ya mwanawe Agapeo mwenye umri wa 18yrs dah hadi huruma
CYMERA_20160409_193917.jpg
 
Hivi hili jitu,lina shughuli nyingne ya kufanya au ni hii ya kupiga picha tu?
 
Huyu mtu mwenda wazimu
Eti hao babes anao wakuwadia walimwambia akivaa pensi nyanya anaonekana mtoto handsome zaidi na yeye anavyopenda utoto basi ushauri aliukubali mara moja haha na besides huo mtumbo na kiuno kama pepe kale anapata tabu kupata suruali size yake labda ashoneshe kwa sheria ngowi ambazo zitakuwa too expensive for him.
 
Huyu mtu nikiona maandishi yake huwa nacheka tu. Kama chizi hivi yani.
 
Back
Top Bottom