Kuna kipande lile gitaa linawauliza watu kisha watu wanajibu...
Gitaa: tyu tyu tyu tyuuuuu
Watu: yee yee yee
Gitaa: tyu tyu tyu tyu tyuuuu
Watu: yeee yeeeee yeeeeeee
Gita: tyu
Watu: yee
Gita: tyu
Watu: yeee
Dogo hiyo inaitwa Missua hiyo ngoma ni mwisho wa matatizo.Hongeren nyi wazee!mi ni chalii2,less24 yrs but napenda music kuanzia bongo fleva mpaka mayenu!nilkua benet sana na dingi wakat nakua,alikuaga anagonga sana ndombolo na kijiradi kaset chake!namkubal diblo,kuna nymbo1 kapga solo2 mwanzo mwsho,ni nomaa!sasa wazee kuna nymbo ya monika seka(sina hakika sana),inaimbwa hivi"yame ndudu,uyame yameeee,uyameee!unaitwaje?nautafuta!lkn nawataka radhi kwa kuzamia meli!
Dogo hiyo inaitwa Missua hiyo ngoma ni mwisho wa matatizo.
Hawa jamaa Ufaransa si ndio nyumbani kwao? ila usimsahau Dally Kimoko pia amekimbiza mbaya kwenye solo gitaa.
ile pou moun mpaka bushee ! (sakai ?) ya Pepe Kale, solo ilipigwa na nani ?
jamaa alipiga solo mpaka akaamini solo pekee ndio mziki. akaanzisha bendi inaitwa Matchatcha ! akapiga ngoma inatwaa extra ball, gita mwanzo mwisho, hamna kuimba humo zaidi ya rap na kushangilia. akachemsha. gita na kuimba bana !
Poumon mpaka Bouge ilipigwa kwa mtindo wa Solo na Second Solo.
Na hivyo vichwa yaani Dally na Diblo ndo walihusika ipasavyo mle...
ile pou moun mpaka bushee ! (sakai ?) ya Pepe Kale, solo ilipigwa na nani ?
jamaa alipiga solo mpaka akaamini solo pekee ndio mziki. akaanzisha bendi inaitwa Matchatcha ! akapiga ngoma inatwaa extra ball, gita mwanzo mwisho, hamna kuimba humo zaidi ya rap na kushangilia. akachemsha. gita na kuimba bana !
Diblo alikua ni nouma but i dont ignore kwamba dalo kimoko nae ni moto wa kuotea mbali ukisikiliza nyimbo ya madilu inaitwa simon hahahaha utaamin kua dalikimoko nae ni nouma,kwa sasa mkali wa soloni jamaa mmoja anaitea flame kapaya alikua mpiga solo wa werrason anayetaka thobitsha hili go youtube akifatiwa na kimbangu solo
Na pia kama uliwapenda Extra basi utamkubali Logaroga...
Nakubaliana na wewe nguli mwenzangu.
Kuna mabalaa aliyafanya Dally Kimoko akiyasikia Diblo basi ni lazima akajipange upya...
Binafsi yangu naweza sema Diblo na Dally wako sawa ila kuna nyimbo moja tu inayoitwa OK Madame ndo inayompa uzaidi kiduuchu Diblo.
Tuendelee...
mkuu usichanganye mambo extra ball ameimba aurlus mabele na leading guiter aka solo imepigwa na diblo dibala na hyo nyimbo mpaka leo ndo inamfanya diblo nambari wani ktk soukous solo guiter alipata tuzo kwa ajili ya hiyo nyimbo na hata kina dally kimoko walikiri kama jamaa ana kipaji na hana mpinzani
Hapana wewe hujui muziki, kila mtu ana radha yake na kama uliwapenda Wenge Musica BCBG basi solo ilikuwa inakung'utwa na Allain Makaba
.......mzee.Diblo Dibala hata mie namkubali kabisaa ! ........ila alipoanzisha bendi akitegemea gita tu bila waimbaji mahiri ndipo alipochemka na kupotea.
Moja ya nyimbo ambayo nakubali solo yake, alipiga na Pepe Kalle, jina siijui, ila Pepe Kalle anaimba sana baadae Diblo anaingia..........mpaka Pepe anasema maneno 'yokee Diblo !' .......kisha Diblo anatambaa ! aiseeeh. !
Hapana wewe hujui muziki, kila mtu ana radha yake na kama uliwapenda Wenge Musica BCBG basi solo ilikuwa inakung'utwa na Allain Makaba
Na pia kama uliwapenda Extra basi utamkubali Logaroga...
Nakubaliana na wewe nguli mwenzangu.
Kuna mabalaa aliyafanya Dally Kimoko akiyasikia Diblo basi ni lazima akajipange upya...
Binafsi yangu naweza sema Diblo na Dally wako sawa ila kuna nyimbo moja tu inayoitwa OK Madame ndo inayompa uzaidi kiduuchu Diblo.
Tuendelee...
Kuna wimbo unaitwa Shalai wa Extra Musica, kazi aliyoifanya Loga loga kidogo inifelishe mtihani mwaka 98, maana kila wimbo huo ulipokuwa ukipigwa siwezi kusoma kwa utulivu hadi uishe ndo niconcentrate, haya mabongofleva yametuondelea fleva za kiafrika aisee.
mkuu usichanganye mambo extra ball ameimba aurlus mabele na leading guiter aka solo imepigwa na diblo dibala na hyo nyimbo mpaka leo ndo inamfanya diblo nambari wani ktk soukous solo guiter alipata tuzo kwa ajili ya hiyo nyimbo na hata kina dally kimoko walikiri kama jamaa ana kipaji na hana mpinzani
kweli alipoanzisha hyo bendi na mi sikupenda sana na nahisi ukaanza kuwa mwisho wa ukali wake