Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
........kuna Mtu anaitwa Saladin, alipiga na Soukous Star ya kina Shimita na Yondo Sister, solo yake ni ya umeme !
Jamaa alitambaa vizuri sana kwenye hiyo albam 'Soukous Star in Holywood'
Ebana Saladin humo aliitendea haki kiila nyimbo na ndio maana Shimita el Diego hakuchoka kumuita