Ngumi za Tanzania zinaelekea wapi.

Ngumi za Tanzania zinaelekea wapi.

chuku

Member
Joined
Jun 9, 2009
Posts
40
Reaction score
0
Wana JF.juzi Jumapili ya Tarehe 20/7/09.Kupitia ITV niliona Mpambano wa ngumi kati ya jamaa mmoja mnene kidogo kutoka Zanziba na mpinzani wake kutoka Bara,Ilisemekana kuwa wale mabondia ni MASUPER STAR,cha kusahangazi Mchezo ukaonekana kama vile wa vichocholoni,hasa huyu jamaa wa bara kacheza mchezo wa kihuni sana,hebu smeni juu la hili.
 
jamaa wa bara alifikiri angemshinda mzenji, muda ulipozidi kwenda akazidi kuchanganyikiwa na kugeuza mieleka, du sijui hakujua kwamba itv walikuwepo...kama picha za thailand gangs! kilikuwa kichefuchefu.
 
Back
Top Bottom