Ngumu kuipiku Kaskazini - Kusini, Visiwan tuwe wapole!

Ngumu kuipiku Kaskazini - Kusini, Visiwan tuwe wapole!

Wakijenga tu kazi imeisha Utalii wa Kaskazini utapungua na Mwanza itakuwa imejijenga kiuchumi na kutakuwa na Flight za moja kwa moja kutoka Mwanza mpaka Dubai na mataifa ya Mashariki ya mbali kama China!
Saizi unaona SGR kama hawataki ifike Mwanza vile pia upanuzi wa uwanja wa Ndege Mwanza haueleweki!
Dah kka hawa Ccm wanapadhoofisha sana huu ukanda asee!! Ila soon kila mtu itabd afaidike na rasilimali zake.
 
Kwahiyo unashauri kaskazini wapate uhuru wao? Au kusini waje kuchukua notes za maendeleo pande hii
umeongea kama joke ila kuna point
Ni hivi mkoloni alikuwa na mpango wa kutoa Uhuru kwa mkoa wa Kilimanjaro peke yake kutokana na sababu kuwa waliona kifikra,kimaendeleo walikuwa tofauti ni mikoa mingine na ndio maana mkoa wa Kilimanjaro ukawa na wimbo wao wa taifa. Kwa maana hiyo ingefanikiwa Kilimanjaro ingekuwa kama ilivyo Lesotho au Swaziland.
Wakati wa kugombea Uhuru Nyerere alijua nguvu kubwa waliyonayo wachaga akawa anamtumia baba yake Mbowe kuwapoza wachaga na kuongea na machifu wengine.Nyerere alikataa kudai uhuru na kuupata hadi bendera ya wachaga ishushwe kwanza.
Alivyo na akili nyingi Nyerere akajua Chief Mareale ni mtu muhimu sana alichokifanya akamuingiza TANU kwisha habari yake akawa amemmaliza.
Ikumbukwe watu wengi wanamchukulia Nyerere kuwa alikuwa msomi pekee wa kwanza walikuwepo na pia Mareale ameshawahi kwenda UNO kabla hata ya Nyerere.
Nyerere alikuwa anamuogopa na kumgwaya sana Mareale.
Huko Usukumani kulikuwa na wasomi pia mfano mzee Kidaha Makwaiya
 
umeongea kama joke ila kuna point
Ni hivi mkoloni alikuwa na mpango wa kutoa Uhuru kwa mkoa wa Kilimanjaro peke yake kutokana na sababu kuwa waliona kifikra,kimaendeleo walikuwa tofauti ni mikoa mingine na ndio maana mkoa wa Kilimanjaro ukawa na wimbo wao wa taifa. Kwa maana hiyo ingefanikiwa Kilimanjaro ingekuwa kama ilivyo Lesotho au Swaziland.
Wakati wa kugombea Uhuru Nyerere alijua nguvu kubwa waliyonayo wachaga akawa anamtumia baba yake Mbowe kuwapoza wachaga na kuongea na machifu wengine.Nyerere alikataa kudai uhuru na kuupata hadi bendera ya wachaga ishushwe kwanza.
Alivyo na akili nyingi Nyerere akajua Chief Mareale ni mtu muhimu sana alichokifanya akamuingiza TANU kwisha habari yake akawa amemmaliza.
Ikumbukwe watu wengi wanamchukulia Nyerere kuwa alikuwa msomi pekee wa kwanza walikuwepo na pia Mareale ameshawahi kwenda UNO kabla hata ya Nyerere.
Nyerere alikuwa anamuogopa na kumgwaya sana Mareale.
Huko Usukumani kulikuwa na wasomi pia mfano mzee Kidaha Makwaiya
Pamoja na maendeleo makubwa waliyokua nayo Kilimanjaro, ilipoundwa serikali hawakupata nafasi za juu.
NYerere aliona mbali, km Kaskazini ingepata uhuru hata maendeleo yangebakia kaskazini
 
Pamoja na maendeleo makubwa waliyokua nayo Kilimanjaro, ilipoundwa serikali hawakupata nafasi za juu.
NYerere aliona mbali, km Kaskazini ingepata uhuru hata maendeleo yangebakia kaskazini
Nikusahihishe kidogo Nyerere ali fight tu asitokee waziri mkuu au makamu toka huko.
Ila nikuambie tu mkoa huu walikuwa na nafasi za juu sana serikalini na kwenye mashirika ya uma Nyerere hakuna na jinsi sababu ndio watu ambao walikuwa wana elimu.
Nenda pale Muhimbili hospital na vyuo vikuu angalia ma proffesor wa kilimanjaro na makabilal mengine halafu uangalie uwiano.
Hili kabila ni la ajabu sana kila mahali wapo vizuri wizi,kisomo,biashara
Biashara zote wanaweza iko moja tu imewashinda.Uvuvi hapa mchaga hana ujanja mchaga anaogopa hata maji yakiwa kwenye kikombe.
 
umeongea kama joke ila kuna point
Ni hivi mkoloni alikuwa na mpango wa kutoa Uhuru kwa mkoa wa Kilimanjaro peke yake kutokana na sababu kuwa waliona kifikra,kimaendeleo walikuwa tofauti ni mikoa mingine na ndio maana mkoa wa Kilimanjaro ukawa na wimbo wao wa taifa. Kwa maana hiyo ingefanikiwa Kilimanjaro ingekuwa kama ilivyo Lesotho au Swaziland.
Wakati wa kugombea Uhuru Nyerere alijua nguvu kubwa waliyonayo wachaga akawa anamtumia baba yake Mbowe kuwapoza wachaga na kuongea na machifu wengine.Nyerere alikataa kudai uhuru na kuupata hadi bendera ya wachaga ishushwe kwanza.
Alivyo na akili nyingi Nyerere akajua Chief Mareale ni mtu muhimu sana alichokifanya akamuingiza TANU kwisha habari yake akawa amemmaliza.
Ikumbukwe watu wengi wanamchukulia Nyerere kuwa alikuwa msomi pekee wa kwanza walikuwepo na pia Mareale ameshawahi kwenda UNO kabla hata ya Nyerere.
Nyerere alikuwa anamuogopa na kumgwaya sana Mareale.
Huko Usukumani kulikuwa na wasomi pia mfano mzee Kidaha Makwaiya
IMG-20241202-WA0019.jpg
 
Urais sio Elimu wala maendeleo, ni system tu inaamua...though it's the highest position
1.Hio system ni software ama watu?😀😃😄😆
Hivi unajua uchumi wa Zanzibar yenye watu milioni 2,ni mara mbili ya uchumi wa Kagera na Kilimanjaro......maendeleo sio kukalili past papers,,..thusy why uchumi wa Iraq ni mara 5 ya wa Nigeria,kwenye maprofessa wengi mara 20 ya Iraq😂😀
2.Sasa Kuna haja Gani ya kusomesha mtoto kisha anakuja kua bodaboda na mzuraliji.....elimu inawasaidia Nini kama mgawo wa rasilimali munapata 16%,ila Zanzibar hawajaanza kuchimba mafuta na ges yao hadi wapate better deal😃😁😅
 
Safii
Hakuna wa kutoka ukanda wa Pwani ya Bahari ya Hindi?
Katika Marais 6,wanne wanatoka Pwani,.......katika awamu hii Pwani ina mawaziri na manaibu waziri 30%................endeleeni kujisifu ujinga tu😁😁😅😅,wa kukalili elimu za mkoloni,.....sisi tupo busy kupanua Barbara iwe njie 4 hadi Mkuranga,...tupo busy kuunda mkoa wa Rufiji.
Kipindi ninyi munatumia akili kuwapeleka watoto wenu wawe na master ili waje kua bodaboda,Zanzibar watu wapo Busy kujenga hospitali kubwa kuliko muhimbili kwa kutumia Hela za mkopo,utakaolipwa na hadi watu wa SIMIYU😆😁🤣
Ingekua kusoma ni maendeleo GDP ya Israel ama Nigeria ingekua kubwa kuliko ya Saud Arabia😄😆😄
 
Kwani kuna mashindano kila mta stick kwenye league yake ya halmashauri ya kichwa chake.
Kweli watu wamekuwa pre occupied na colonial era sana, wazungu waligawa watu ( Divide & Rule system) ulikuwa Hilo uwezi kuanzaa nyoko nyoko ooh wachagga sio nini wazungu walifanya upendeleo Kwa jamii Fulani walizoona ziko cooperative nazo Waka wa empower mapema thus why kaskazini wanaojisifu walikuwa very submissive Kwa wazungu tofauti na kanda zingine so hata kimaendeleo wakawa wanawapendelea na hii case Bado inaendelea NGO ni nyingi au wazungu wengi wakija Tanzania mlango wao ni Kilimanjaro & Arusha ,hiyo ndo same case hata Rwanda tusi and Hutu , Zimbabwe Shona .

Mpira sahivi ushabadilika unadunda kote kote Kila kabila linajua hela
 
Hio system ni software ama watu?😀😃😄😆
Hivi unajua uchumi wa Zanzibar yenye watu milioni 2,ni mara mbili ya uchumi wa Kagera na Kilimanjaro......maendeleo sio kukalili past papers,,..thusy why uchumi wa Iraq ni mara 5 ya wa Nigeria,kwenye maprofessa wengi mara 20 ya Iraq

Sikia nikwambie kitu pamoja na katiba inasemaje duniani kote kuna kitu kinaitwa underground unwritten rules yaani sheria ambazo zinafanywa kwa mazoea lakini hazijawekwa kimaandishi nitakupa mfano.
1.Marekani raisi hawezi kuwa mkatoliki au muislam.Mkatoliki alishawahi tokea mmoja tu Kennedy lakini wakamuua.
2.Wingereza raisi hawezi kuwa muislam au asiye dini ya Anglican
3.Ireland raisi lazima awe mkristo hiyo haitoshi lazima awe mkatoliki
4.Iran raisi lazima awe muislam lakini hiyo haitoshi lakini awe dhehebu la Shia
5.Saudi Arabia alikozaliwa mtume Muhamad.Raisi lazima awe muislam lakini dhehebu la Sunni
6.China raisi lazima asiwe dhehebu la dini za Ibrahim yaani ukristo na uislam
7.Buthan-Raisi lazima we dini ya Budha
8.Cambodia raisi lazima awe dini ya Budha
9.Japan waziri mkuu hawezi kuwa muislam au mkristo yaani dini za Ibrahim ila abudu dini zingine lakini lazima afungamane na dini ya Shinto ambapo mkuu wake ni mfalme.Hii dini wanamuabudu mungu wa mchele.
10.India wao pamoja na kuwa na dini nyingi na miungu zaidi ya 5000 ila kumeshawahi kuwa na raisi muislam Abdul Kalam

Sasa tuje hapa kwetu ni hivi raisi asitoke kabila kubwa au kabila lenye umaarufu mkubwa maana yake raisi atoke kwenye kabila dogo tena hii iko hata kwa waziri mkuu.Hii sera iliwekwa na mkoloni mwingereza ila ilikuwa haijaandikwa mahali.Mwingereza aliogopa sana kabila la wasukuma aliona akiwapa elimu atatawala kwa tabu sana.Kilichomshangaza ni kuona watu wa Tabora,Shinyanga,Mwanza wote wanaongea lugha moja.Na sehemu yote iliitwa Lake Province.

Hivyo mchaga,mnyakyusa,mhaya kuwa hata waziri mkuu achilia mbali raisi ni shughuli pevu.Wapare wanatoka mkoa wa Kilimanjaro lakini wako wachache na umaarufu wao wa usomi na ubahili na ndio maana sio threat sana na ndio maana Msuya ameshawahi kuwa waziri mkuu.

Sasa najua mtajiuliza Mbona Magufuli alichaguliwa kuwa Raisi na alikuwa Msukuma?.Kiukweli asili kwa ndani sana Magufuli hakuwa msukuma ila alikulia kwenye kabila hilo lakini pamoja na yote chunguzeni sana alivyokuwa anakwenda kwa kasi ya ajabu kutaka kufanya sehemu anakotoka kuwa Mkoa angalieni maamuzi mengine ya ajabu kujenga CRDB mahali hapastahili,kuweka taa za barabarani mahali hapastahili labda ngombe wakiwa machungani wasimame kupicha wenzao,kujenga uwanja wa ndege nyumbani kwao wakati Geita ndio iko karibu zaidi na maarufu.
Huo ndio mfano mdogo.

Picha chini hapo ni ng'ombe wa India wanavyoheshimiwa ambao wanajua sheria za brabarani anasubiri taa nyekundu avuke barabarani sasa mkuu wetu mwenda zake labda alikuwa na nia nzuri ila tatizo kule kwao ni kijijini
Tuelezee kwa nini matokeo yakitoka Zanzibar kwenye waislam 99% wanafeli sanaa kuliko Kilimanjaro na Bukoba,ila per capital ya Zanzibar ni mara 2 ya hio mikoa?😆😅😃
 
Mjitahidi kusoma history mtaelewa vizuri,

Divide & rule system ,colianism tactics ndio chanzo Cha wengine Leo hii kujiona kabila la wasomi na wenye Mali pale mzungu alipokuta watu sio submissive au kabila Fulani sio alitafuta kabila linamuunga mkono awe nao kuwatala wengine, Same case Kwa education system
 
Back
Top Bottom