Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
NGUMU KUMEZA [emoji434]
Mashabiki wa Simba SC na viongozi wanahaki ya kumshangilia George Mpole kama achievement kwao kutokana na sababu kadhaa.
[emoji419] Msimu huu klabu ya Simba haina chochote cha kushindania kwenye ligi.
[emoji3502]Bingwa - Young Africans
[emoji3502]Unbeaten - Young Africans
[emoji3502]Timu ambayo haijafungwa magoli mengi ligi kuu - Young Africans.
[emoji3502]Mfungaji bora - George Mpole
[emoji3502]Mfungaji bora namba 2 - Mayele
[emoji3502]Timu iliyofunga magoli mengi zaidi msimu huu - Young Africans
Timu iliyopiga pasi nyingi zaidi msimu huu ligi kuu Tanzania bara :
1. [emoji3478] 11,564 - Young Africans
2. [emoji3478] 10,372 - Simba sc
3. [emoji3478] 9,427 - Azam fc
[emoji3502] Golikipa mwenye Cleansheets nyingi ligi kuu Tanzania bara - Diarra
[emoji3502] Golikipa namba mbili mwenye Cleansheets nyingi - Aboutwalib Mshery
[emoji3502]Timu yenye Cleansheets nyingi ligi kuu Tanzania bara - Young Africans.
[emoji3502]Makombe mengi msimu huu - Yanga
[emoji3502]Timu iliyoshinda michezo mingi msimu huu - Young Africans.
[emoji3502]Timu iliyotoa sare chache zaidi msimu huu - Young Africans SC
[emoji3502]Timu iliyoingiza mashabiki wengi viwanjani - Young Africans
[emoji3502] Mshambuliaji pekee ambaye hana goli katika top three ni - Mugalu.
[emoji419] Kwa hiyo ukitazama hapo sehemu pekee ambapo klabu ya Simba inaweza kupata tuzo ni sehemu moja tu,, Ni kwa GEORGE MPOLE.
Ukiacha Mayele kutetema, hizo ndo sababu kubwa zilizofanya mashabiki wengi wa Simba kufurahishwa na Mpole kutwaa tuzo.
Mashabiki wa Simba SC na viongozi wanahaki ya kumshangilia George Mpole kama achievement kwao kutokana na sababu kadhaa.
[emoji419] Msimu huu klabu ya Simba haina chochote cha kushindania kwenye ligi.
[emoji3502]Bingwa - Young Africans
[emoji3502]Unbeaten - Young Africans
[emoji3502]Timu ambayo haijafungwa magoli mengi ligi kuu - Young Africans.
[emoji3502]Mfungaji bora - George Mpole
[emoji3502]Mfungaji bora namba 2 - Mayele
[emoji3502]Timu iliyofunga magoli mengi zaidi msimu huu - Young Africans
Timu iliyopiga pasi nyingi zaidi msimu huu ligi kuu Tanzania bara :
1. [emoji3478] 11,564 - Young Africans
2. [emoji3478] 10,372 - Simba sc
3. [emoji3478] 9,427 - Azam fc
[emoji3502] Golikipa mwenye Cleansheets nyingi ligi kuu Tanzania bara - Diarra
[emoji3502] Golikipa namba mbili mwenye Cleansheets nyingi - Aboutwalib Mshery
[emoji3502]Timu yenye Cleansheets nyingi ligi kuu Tanzania bara - Young Africans.
[emoji3502]Makombe mengi msimu huu - Yanga
[emoji3502]Timu iliyoshinda michezo mingi msimu huu - Young Africans.
[emoji3502]Timu iliyotoa sare chache zaidi msimu huu - Young Africans SC
[emoji3502]Timu iliyoingiza mashabiki wengi viwanjani - Young Africans
[emoji3502] Mshambuliaji pekee ambaye hana goli katika top three ni - Mugalu.
[emoji419] Kwa hiyo ukitazama hapo sehemu pekee ambapo klabu ya Simba inaweza kupata tuzo ni sehemu moja tu,, Ni kwa GEORGE MPOLE.
Ukiacha Mayele kutetema, hizo ndo sababu kubwa zilizofanya mashabiki wengi wa Simba kufurahishwa na Mpole kutwaa tuzo.