Nilitangaza kutafta mke ila vigezo tajwa Wengi hawakuvitimiza kwa ufasaha
1.Mwanamke mkristo
2.Mwanamke siyo mwembamba ila awe na umbo mashalah (wamejitokeza wenye unene wa tumbo)
3.Elimu sikuijali sana
4.Sikutaka mfupi, sitaki kafupi,
Wengi waliojitokeza na kati ya hao sifa hawana
1.Mwanamke mkristo
2.Mwanamke siyo mwembamba ila awe na umbo mashalah (wamejitokeza wenye unene wa tumbo)
3.Elimu sikuijali sana
4.Sikutaka mfupi, sitaki kafupi,
Wengi waliojitokeza na kati ya hao sifa hawana