Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Vijana wanapigwa spana za kufa mtu mpaja wana wanapagwa ππππLeo tupo na vijana tu
ππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wanapigwa spana za kufa mtu mpaja wana wanapagwa ππππLeo tupo na vijana tu
ππππππππ
Yaaani hatupoiVijana wanapigwa spana za kufa mtu mpaja wana wanapagwa ππππ
Watoto wa 2000 wameshakua mabroo na wao..Maana ndio kwanza hata 23 years hawajafunga.Bado watoto tu hao ndio vijana wenyeweKwa kweli ni uvaaji mzuri na wanapendeza sana tofauti na uvaaji wa mabroo wa miaka ya 2000
Tuko wengi sana..Yan hata hatutukisiki na chochote toka kinaingia mjin mpaka kinapotea.Changes come and go sis we r still here ππππMbona tupo ambao hatuendeshwi na trending ya fashions tuna changamoto gani ππ, Tupo basically Sana.
Tatizo wenzenu wengi ni wazinguaji sanaaYaaani hatupoi
Honestly mimi napenda kupendeza lakin dahh!! Nashindwa kabisaa kulipa hilo suala kipaumbele. Yan siweeeziiii. Suali zangu mbili tatu, shati zangu saba nane bas najioneaaga am relaxed.Wabishi mnaishi kibishi [emoji1787][emoji1787]
Machalii wa rIla zisiwe Kama za vijana wa ovyo wa Arusha,mtu anavaa anaonekana kichwa tu,haujui kiuno Kiko wapi wala bega lipo wapi
Hipster cultureMbona tupo ambao hatuendeshwi na trending ya fashions tuna changamoto gani ππ, Tupo basically Sana.
Hii Inaonyesha Pindo La Ch*p*