Nguo kupauka kutokana na maji

Nguo kupauka kutokana na maji

Ubezea

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2018
Posts
1,232
Reaction score
631
Wakuu umofia kwenu, hivi dawa ya kutofanya nguo zisipauke ni nini? Maana natumia maji ambayo yana chumvi kwa mbal, sasa nguo zinapauka sana,,,
Sasa ni nini dawa yake ili zisipauke?
 
Niliwahi ambiwa nguo kuzianika juani kunapausha nguo sana

Kama unatumia maji ya chumvi pia hupausha nguo
 
hivi dawa ya kutofanya nguo zisipauke ni nini?

Kwenye logic double negation ina imply positive, kwa mamneno mengine hapo unaomba msaada wa namna ya kupausha nguo😅😅💃👣
 
Nguo nyengine zinapauka kwa sababu quality yake ni mbovu
 
Ili nguo zsipauke.
1.Usitumie maji yenye chumvi ( hard water)
2.Usitumie sabuni nyingi ya unga unapofua hasa kwa nguo zenye kiasi kikubwa cha cotton.
3. Kwa nguo zinazotoa rangi epuka kuziloweka na sabuni kwa mda mrefu. Lakini pia uszifue mara kwa mara
4.Usianike nguo kwenye mwanga na jua kali. Wakati wa joto ni vema ukafua usku ili zilale kwenye kamba na asbh unazitoa.
5. Uszishoshe mara tu baada ya kukauka. Ziweke kwenye begi na uznyooshe baada ya siku 7 au zaidi
 
Ili nguo zsipauke.
1.Usitumie maji yenye chumvi ( hard water)
2.Usitumie sabuni nyingi ya unga unapofua hasa kwa nguo zenye kiasi kikubwa cha cotton.
3. Kwa nguo zinazotoa rangi epuka kuziloweka na sabuni kwa mda mrefu. Lakini pia uszifue mara kwa mara
4.Usianike nguo kwenye mwanga na jua kali. Wakati wa joto ni vema ukafua usku ili zilale kwenye kamba na asbh unazitoa.
5. Uszishoshe mara tu baada ya kukauka. Ziweke kwenye begi na uznyooshe baada ya siku 7 au zaidi


Hivi kuna watu bado mnafua nguo??!!😯😯
 
Ama ulio amia kusiko kuwaa na chumvi au mtafute kitenge wa wasafi
 
Ili nguo zsipauke.
1.Usitumie maji yenye chumvi ( hard water)
2.Usitumie sabuni nyingi ya unga unapofua hasa kwa nguo zenye kiasi kikubwa cha cotton.
3. Kwa nguo zinazotoa rangi epuka kuziloweka na sabuni kwa mda mrefu. Lakini pia uszifue mara kwa mara
4.Usianike nguo kwenye mwanga na jua kali. Wakati wa joto ni vema ukafua usku ili zilale kwenye kamba na asbh unazitoa.
5. Uszishoshe mara tu baada ya kukauka. Ziweke kwenye begi na uznyooshe baada ya siku 7 au zaidi
Okay asante mkuu
 
Back
Top Bottom