Nguo na scaf yake vilionekana kuwa na damu na maji yaliyotokea puani wakati akibanwa na python, aliyekuwa mkosoaji wa elimu ya mfalme wa Beirut

AISEE MKUU POLE SANA
 
Damu ya Mtu huwa haipotei ipo siku watajitaja tu hata wakikimbilia MAKANISANI msamaha hautokuwepo adhabu itawakuta tena hapahapa Duniani.
Kama kweli jamaa aliuwawa tena kwa style hii ni vema walio excute wakawafungia fundo wenye kazi zao wananielewa maana ya kufunga fundo.
 
Ila nitakuwa wa mwisho kuamini mfalme aliinua mkono wake dhidi ya mkosoaji yule hata Kama unamchukia mtu usimsingizie baya.
 
So disgusting....... Bring back our Ben. Beiruti ni serikali ya kishetani na kila chama tawala ni chama cha kidhalimu
 
Waliocheki part one usema alifia mikononi mwa steering location wakati wanashoot movie.Mzimu wake Ndio chanzo cha Master sterling kulikimbia jiji toka bondeni na kukimbilia milima ya golan.
 
Lego la serikali ya wanyonge lilikuwa kuwafanya raia wake waiogope serikali yao,wasiiohoji na Wala wasiipinge kwa chochote, hii ilisababishwa na matokea ya serikali ya Wala Bata iliyokuwa imemaliza mda wake, serikali ile ilisemwa hasa, ilihojiwa hasa na ilipingwa asubuhi, mchana jioni na usiku.
Lakini pamoja na serikali ya wanyonge kuwa na malengo hayo kulikuwa na ulazima gani wa kumuua Ben?? kuteka wakosoaji?? au kutaka kumuua mzee wa kumalizana na ma ccm??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…