Nguo na scaf yake vilionekana kuwa na damu na maji yaliyotokea puani wakati akibanwa na python, aliyekuwa mkosoaji wa elimu ya mfalme wa Beirut

kuna kitu ulitaka kukiwakilisha lkn hukufanya editing ya bandiko lako lilotufanya tuzame sana ili kujua zana nzima ya uzi wako.
 
Kuna kunguru wanaitafuna hii nchi usiku na mchana ila wanataka wengine wafumbe macho na midomo kama vile hawalipi kodi. Wakiwa nje ya mfumo wanaazisha shule za uongozi hahaaa
 
RIP BEN
 
sometimes we must watch our mouths" ,to die because of cheap popularity it's stupidity of mind!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…