Ama kweli duniani kuna vituko na malimwengu ndio wahanga wa vituko, Magenge ya uhalifu nchini yapo mengi sana, lakini hili la Lebanon limevuja rekodi, Kama huyajui magenge yanayotisha/yenye vituko kwa tanzania hii basi sikia hii, Nenda sasa nyuma ya Ikulu ya Tanzania kuvuka tu barabara...