Nguo na scaf yake vilionekana kuwa na damu na maji yaliyotokea puani wakati akibanwa na python, aliyekuwa mkosoaji wa elimu ya mfalme wa Beirut

Nguo na scaf yake vilionekana kuwa na damu na maji yaliyotokea puani wakati akibanwa na python, aliyekuwa mkosoaji wa elimu ya mfalme wa Beirut

Hii mada imefufuka tena kwa kasi ya ajabu mno...kunanini nyuma yake!?
 
Hawa magangstar wetu waliweka kwenye viroba na kutupa baharini
Hahahah katika maisha nilijifunza kuwa kujifanya hero kuna gharama zake na wa kuzilipa ni wewe pekeako ila watakaonufaika ni wengine.

Nilishawahi kufanya tukio la namna hio na lilinigharimu sana. Japo niliwakomboa watu kutoka katika shida flani. Ila nilihujumiwa na mamlaka kama sehemu ya kunikomoa.
 
Kati ya Mambo yanayofanya nikapige kura ya hasira kwa lisu ni hili uuwaji haukubaliki kabisa hasa kwa mtu inncoent Kama Ben Saanane.
 
Mkuu britanicca yule Python alikuwa amefugwa na hao jamaa au ilikuwaje. Na je, ni kweli jamaa amepotezwa kabisa au amehifadhiwa sehemu nyeti mpaka zitimie nyakati na wakati (I.e natural death)

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa najua kunakuwaga na detention ya watu aina ya huyo benard eight o'clock! Pengine yuko huko ila mambo ya kusema kauliwa sidhani kama ni halisia.

Hata enzi za hayati Ben William naskia kuna mumaza alikuwa anataka kuharibu hali ya hewa akatiwa katika jumba la dhahabu for hardly 10 years mpaka jamaa alipotoka madarakani wakam release.
 
Huwa najua kunakuwaga na detention ya watu aina ya huyo benard eight o'clock! Pengine yuko huko ila mambo ya kusema kauliwa sidhani kama ni halisia.

Hata enzi za hayati Ben William naskia kuna mumaza alikuwa anataka kuharibu hali ya hewa akatiwa katika jumba la dhahabu for hardly 10 years mpaka jamaa alipotoka madarakani wakam release.
Natamani ingekuwa hivyo, miss sana Ben saa nane, alikuwa kijana smart mpambanaji asie na bei kumtumikia kafiri.
 
Huwa najua kunakuwaga na detention ya watu aina ya huyo benard eight o'clock! Pengine yuko huko ila mambo ya kusema kauliwa sidhani kama ni halisia.

Hata enzi za hayati Ben William naskia kuna mumaza alikuwa anataka kuharibu hali ya hewa akatiwa katika jumba la dhahabu for hardly 10 years mpaka jamaa alipotoka madarakani wakam release.
upumbavu wako peleka kwa mke wako ben auliwa jumba jeupe na msema mkweli mpenzi wa mungu ambaye kila siku anasema ataenda mbinguni
 
upumbavu wako peleka kwa mke wako ben auliwa jumba jeupe na msema mkweli mpenzi wa mungu ambaye kila siku anasema ataenda mbinguni
Ukiambiwa ulete ushahidi wa unachoongea mbele ya TCRA na kamanda Muroto utaweza kuleta au ndio utategesha kisura cha huruma ukitegemea tuchange 200/200 zetu tukuwekee dhamana.
 
Kama ilivyo kwenye maisha ya kawaida, kwamba ukitaka kufanikiwa then usiogope kupambana ila utazame tu unapambanaje na kuwa makini tu.

Same kwenye uana harakati. Ukitaka kuwa mtetea haki na kuwa sauti ya wanyonge then don't be a coward...... Na hofu haitakiwi kuwa sehemu ya maisha yako....
 
Back
Top Bottom