Sina Ndugu
JF-Expert Member
- Sep 24, 2024
- 378
- 604
Mimi ni 5'8, nafanya workout pia, Asa nikivaaga bwanga, hua naona kama hazikai ...Raha ya hizi trouz, muhusikaa awe mrefu, slim thick.
Ndo inakua π₯π₯π₯π₯π₯
Hapoo sawaaa.Mimi ni 5'8, nafanya workout pia, Asa nikivaaga bwanga, hua naona kama hazikai ...
Labdailikuwa bahati yako tu
ππHapoo sawaaa.
Woyooooh!![emoji108][emoji108]
Mbona umeshangilia ππWoyooooh!!
πunayumba mkuumbn umepaniki mkuu
Aaah hapanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona umeshangilia [emoji38][emoji38]
Siwez vaa rangi ya pink Kwa kwelmimi siwezi kuvaa nguo ya njano rangi ya njano hapana naona kama ni rangi ya wagogo hii π€ weww kwako ni ipi
wagogo ni watani zangu
sawa mkuu hamkupigq pichaLabda
Lakini alisifia vazi sana beside I was handsome π π€£ π
agog ndio rangi zenu izoπunayumba mkuu
Aaah babe chupi nzuri ni nyeupe ,kijivu leta bikini ππ₯°Ntakununuliaaa rangi hizo sasa nyingiiiiiπ€£π€£π€£ππ€π€
πππwe juz si ulinikaushia kisa pinkNina hamu niionee darlingππ€£π€£π
Mkuu miaka 40 na kitu iliyopita nilikuwa na Yashica maana hata selfie π€³ tulikuwa hatujuisawa mkuu hamkupigq picha
kwakweli ungepata ukumbushoMkuu miaka 40 na kitu iliyopita nilikuwa na Yashica maana hata selfie π€³ tulikuwa hatujui
Na kupiga picha na dem ilikuwa sio kitu kikubwa wakati huo View attachment 3112302
Sana tukwakweli ungepata ukumbusho
No, babe mbona nimekujibu kuleeπ€π€ππππwe juz si ulinikaushia kisa pink
Nitakukaushiaj mtoto mzuri kam wewee bhanaπ€£π€£πππwe juz si ulinikaushia kisa pink
Am coming for you β€οΈπ€€No, babe mbona nimekujibu kuleeπ€π€π