Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #141
ukapata kazi sare orange inakuwaje hapo?
Pupple, orange, pink
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pupple, orange, pink
😄Nyekundu,orange,njano,purple
ahaha ni mbaya sana kwa afya ya kupata.dem kwa uvaaji uhoMkuu unavaaje suruali ya zambarau au kwa kijana wa miaka 28+ unavaaje soksi za njano? Aise mimi siwezi kuvaa hivyo kwakweli. 😂😂
Kuna rangi ya njano nzurimimi siwezi kuvaa nguo ya njano rangi ya njano hapana naona kama ni rangi ya wagogo hii 🤗 weww kwako ni ipi
wagogo ni watani zangu
embu tuione au unaisemea baby yellowKuna rangi ya njano nzuri
Hata hiyo. 😜😜Hutaki suti ya njano?embu tuione au unaisemea baby yellow
hapana bure sipokei kabisa ata ukinipa zawad nagawaHata hiyo. 😜😜Hutaki suti ya njano?
😅😅😅😅hapana bure sipokei kabisa ata ukinipa zawad nagawa
Nini tena AtotoMmmmmh!!
kweli tean😅😅😅😅
Mwanaume hutakiwi kuvaa chochote chenye rangi ya pink hata begi haifai, siwezi kuvaa Trouser ya rangi nyekundu, njano au kijani, jeans zangu ni rangi mbili tu blue na nyeusi.
Naomba nikushonee 😜kweli tean
WoooiiiiiiMzee wa minyukano kuna rangi imemnyanyua hiyo mborrrrrŕrr itakuwa
Sema inakosha ikiwa na brown mkolezo😄😅😅 Tumetofautiana sweery