Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
tena ww inakupendeza kabisa
Sivai pink
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sivai pink
imani yako tyMe too. Never ever
Njano Kwanza rangi ya wafungwa.nikose hela bure
huwa ni rangi mzuri zimepoaRango yangu pendwa black na kaki white
na hujawai vaaaPink
Pink unavaaa?Kijivu na blue bahari
Àaaah wapiiiimvae sare tuwaone
Umeona zilivo unyamaahuwa ni rangi mzuri zimepoa
si mnapendana bhnaÀaaah wapiiii
Umeona zilivo unyamaaView attachment 3111423
Huyu ni pdidyau wamefanana nayeye ana clip kama hii anacheza abord plane.
😅😅😅 Yeye popote kazi hana utaniNimeona futa Kwa ground
ni pacha wakeHuyu ni pdidyau wamefanana nayeye ana clip kama hii anacheza abord plane.
Nyeusi ni option number1 kwa mwanaume yeyote!!Umeona zilivo unyamaaView attachment 3111423
umechambua vizuri sanawatu wanaoandika kwamba hawavai kijani na nyekundu nawashangaa!,hizi rangi ktk rangi si kwamba ni mbaya ni vile hujajua kunasa kijani ipi ama nyekundu ipi!..
kuna kijani kama inaelekea kuwa nyeusi hivi na haijakolea ni outfit nzuri labda tu usijue namna yakujipangilia so unakuta mwanaume umevaa jeans yakijani! WTF hii inafaa zaidi kuwa nguo ya juu halafu chini vaa kitu cheusi it's cool..
hivyohivyo kwenye nyekundu usichukue nyekundu iliyokoza zipo zile wanaita damu ya mzee that cool!,nayo pia inapendeza iwe ya juu sio utuvalie chini WTF!.
ikitokea ukavaa nguo ya chini kati ya hizo mbili my friend heri ukachagua kijani hiyo niliyoiandika na piga ua vyema ikawa pensi!!. hapo kwa juu ukila mtisheti wako mweusi mkubwa mkubwa hivi halafu ka night fulani unaenda kula gambe lako fresh nothing to worry!.
kuna rangi unaweza kweli ukasema ni mbaya lkn inategemea umeikuta ktk namna ipi imekolea ama haijakolea!,rangi ambazo siwezi kuvaa ni zile ambazo zinawaka sana!..