Nguo za mtumba za watoto sh 500/1000Tzs anayeuza

The Eric

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
6,446
Reaction score
10,976
Habari za wakati na poleni na mihangahiko.

Naulizia Nguo za mtumba za watoto kwa anayefungua mzigo kwa bei hiyo 500/1000TZS tuongee biashara hapa hapa na wengine wanufaike mi ninanunua naenda kuuza nipate angalau faida kidogo. Mimi niko mkoani.
 
Weka number tuwasiliane kama itafanyika biashara au lah.....
0754514915

Utatumia hii namba mkuu ,Na wote wanaohitaji mizigo ya bei rahisi kwa mtumba wa watoto karibuni sana napatikana manzese na ilala.
Nguo za jumla bei zangu ni kuanzia 500 - 1000 kwa mzigo wa kushusha (wenyeji wa mtumba mtakua mmenielewa hapa)

Kwa mzigo uliopoa ni 300 tu kwa nguo moja
 
Mi ni mwenyeji sana tu, nimetaka kumuunga aliye huku, nachukuliaga mzigo ilala.
 
Nimeona untak mzigo cheap mkuu kwa Nn uschukue za kuchagua ukapige mishindo na misondo ya maana
Kwa hiyo bei niliyotaja kwa masoko ya dar es salaam sio cheap kiivo za watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…