Nguo za ndani- eac

Kibunago

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2008
Posts
300
Reaction score
122
Ingawa kunakosekana kipimo nyeti cha hali ya kupambana na Umaskini;

Ingawa baadhi ya Takwimu zaweza kuwa ni za miaka miwili nyuma;

Ingawa, kipimo na vigezo vyake bado vinaendelea kuboreshwa;

Ingawa katika 10 bora hatumo, bado tunaweza kusimama kichwa juu na kusema katika 20 bora wa ‘ Mo Ibrahimu’ tumo!

Na kama yangekuwa ni matokeo ya ‘Wanafunzi wa EAC ‘ basi, sisi tunatangulia na wenzetu wanatufuata!

Kumbuka kuwa, Takwimu kama nguo za ndani hufunulia kadamnasi fununu tu, kinachofichika katika Takwimu ni muhimu zaidi.


REF:
http://www.moibrahimfoundation.org/en/section/the-ibrahim-index/scores-and-ranking
 

Attachments

  • Matokeo ya Wanafunzi wa EAC.JPG
    33.3 KB · Views: 51
  • Africa Top Twenty.JPG
    22.1 KB · Views: 62
Labda maswali menngine muulizeni Salim Ahmed Salim ambaye ni board member wa Mo Ibrahim Foundation.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…