Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
OOghh Pole Mpwa, Tabora kwani hawafanyi hii biashara? Hii biashara iko kila pembe ya nchi, ni hatari sana kwa usalama wetuYaani wewe.....mi hadi nimepeleka akili Tabora kwenye asali halisi
Hahahaa daddy kwenye hilo suala na duka atafunga tu kwa kweli. itabidi tu yeye mwenyewe akusifie au utasubiri ufike home wifi akusifie. Hizo habari ni mwiko kwa daddy
Hahaha tumeupokea ushauri wako mpendwa, tunamtafuta mtu wa kuwapimaNavyo mjua anavyopenda hela hawezi kufunga, itabidi afanye hata kuajiri mtu wa kusave watu wa jinsia ya kiume ili tu asipoteze wateja, aache mambo ya kuwatumia family mbembers kwenye biashara ikibidi.
Maana mimi eti nisifiwe na mwanaume mwenzangu eti kifuniko kimenipendeza haipo kamwe, na habari ya kurudi mpaka home wife aniambie kibaya nikirudishe tena ni kupoteza muda.
Kwa hiyo inabidi daddy Kaboom atutafutie mtu wa kutupima.
Hahaha tumeupokea ushauri wako mpendwa, tunamtafuta mtu wa kuwapima
Hahaha ngoja aje, nafikiri atakupa jibu amazingMsichelewe maana leo ninataka kupita hapo kabla hii helaaa haijaisha.
Akikosekana itabidi umwombe daddy akukubalie unipime, mara moja tu na haitajitokeza kwa wateja wengine.
Kijana naona unataka kupiga chata ikulu..Kuwa makini..Utaozea segereaKaboom saidia hapa, maana nataka nijue kama vifuniko vyetu vipo nije kununua, ila ningependa nimkute mwanao Heaven Sent ndo anisaidie kujipima maana wewe unaweza kuniuzia famba.
Waulize watumiaji mkuu..Wao ndo mashaidi
Kijana naona unataka kupiga chata ikulu..Kuwa makini..Utaozea segerea
Kijana umewahi kufa?..Au hata kuokota makopa kwa mwezi mmoja tu?Dad anatakiwa kuelewa kwamba It's just business!
Teh teh..Uje na mpnz wako akuthaminishe..Mteja wa kiume kwangu sio mfalmeMkuu sasa wewe unaona inakuja ya mimi kujipima halafu eti wewe ndo utahminishe, kweli?
Kijana umewahi kufa?..Au hata kuokota makopa kwa mwezi mmoja tu?
I told ya teh
Teh teh..Uje na mpnz wako akuthaminishe..Mteja wa kiume kwangu sio mfalme
We usije tu..Ww sio wa muhimu sana..Ila shem ndo wamuhimu teh
Douta cheza mbali na hawa viumbeI told ya teh