Nguo za ndani za mitumba: Mkombozi wa maskini, msambaza magonjwa!

Mimi pia naogopa kuja naye asije siku nyingine akaja kununua peke yake.

Maana wengine kazi zetu ni za kusafiri safiri, unaweza kuta siku anataka kununua mimi nimesafiri halafu ikawa shida.
Ofisi yetu pia inatoa ulinzi kwa wake za watu ambao waume zao wako bize na kazi..Mlete tu shem mkuu
 
Ofisi yetu pia inatoa ulinzi kwa wake za watu ambao waume zao wako bize na kazi..Mlete tu shem mkuu

Hapana mkuu, ulinzi niliouweka unatosha.

Tego lake hata mshana jr hategui, kwa hiyo ikitokea akaja dukani kwako muone kama adui, ikibidi hata kumuuzia kataa.
 

kuna mods kazi yao kuunganisha nyuzi za watu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…