INAUZWA Nguo za watoto zinauzwa

Takisha jolly

Member
Joined
Feb 4, 2018
Posts
27
Reaction score
20
Hello

Poleni na majukumu

Mimi nauza nguo za watoto za kike na za kiume kuanzia miaka 0-6 bei ni kuanzia tsh 1, 000 napatikana dar goba kwa mawasiloano karibu sana PM.
 
Hicho cheusi kinatamanisha kupata mtoto wa kike
 
Nguo nzuri, tuanze na hicho cheusi pamoja na nguo za mtoto wa kike yupo kwenye miaka mitatu, bei na napataje kwa mteja wa mkoani kanda ya ziwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…