Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani ndio lengo la Serikali kuzuia mitumba kwakuwa hatuna vazi la taifa lenye kututambulisha ndani na nje ya nchi hili tujing'arishe na hii midabwada.[emoji124][emoji15] [emoji15] raia watavaa tu
Hiyo ndo safar ya watu mbeleni kutembea na boxer au vichupi eti fashion. Jaman huyu shetani katushika pabaya hasa akisaidiw na hawa wasanii,waingizaji etc (Mind Controllers) .Ee Mungu kushike mkono na kutuongoza ktk njia zako za haki
Kanye?
%kubwa ya wavaaji wa hizo ngua nao utakuta vichwa vyao vimechanika kama c kutoboka toboka..