Ngurudoto Hotel ni kweli imekuwa Hostel ?

Ngurudoto Hotel ni kweli imekuwa Hostel ?

Hakuna kilichobadilika hapo. Wameongeza s moja tu.
Badala ya ho tel inakua ho s tel
 
inasikitisha sana kwani uongozi wake umeshindwa hata kuibinafshisha kwa makampuni makubwa hata ya kenya namaanisha wakenya ni werevu sana kwenye sekta ya hotel nadhali uongozi umeshindwa kuchambua mambo ipasavyo au wangeikodisha kama hotel kwa bei hata ndogo tu wasubiri awamu hii imalize muda wake maana watakapokuja kuifanyia service tena kwa ajili ya hotel itawagharimu sana waelewe awamu hii i
tapita tu
Hao wakenya watawapata wapi watu wa kuwalaza huko hotelini? Kwani kwa sasa kwa huo werevu wa wakenya hotel zao huko kenya zimejaa watalii?

Kwani wamiliki wa hotel wanasema kwa nini wameamua kubadili matumizi ya hoteli yao?
 
Hakuna cha ukakasi hapo mkuu,
Hotel to Hostel, Tutarudi mule mule nyumba ya kulala wageni..
Hakuna kitu kibaya kama ufinyu wa akili... Tutaendelea kumkumbuka Lowasa aliposema vipaumbele 3 ni elimu, elimu na elimu...
 
Ngurdoto ni hotel kubwa yenye eneo ambalo ni sawa na mtaa na kuna nyumba nyingi nyingi zenye hadhi tofauti tofauti. Kwaiyo yawezekana uongozi wa chuo uliomba baadhi ya nyumba ambazo hazitumiki kwa sasa, wazitumie kama kama hostel.
Kwa hiyo wamejenga majumba meengii unnecessarily kiasi kwamba yamekosa watumiaji? Au ni biashara ime shrink big time?
 
inasikitisha sana kwani uongozi wake umeshindwa hata kuibinafshisha kwa makampuni makubwa hata ya kenya namaanisha wakenya ni werevu sana kwenye sekta ya hotel nadhali uongozi umeshindwa kuchambua mambo ipasavyo au wangeikodisha kama hotel kwa bei hata ndogo tu wasubiri awamu hii imalize muda wake maana watakapokuja kuifanyia service tena kwa ajili ya hotel itawagharimu sana waelewe awamu hii i
tapita tu
Mkuu umewahi hata kuendesha mgahawa au mama lishe? Unamfahamu owner wa hiyo hotel?
 
Mkuu umewahi hata kuendesha mgahawa au mama lishe? Unamfahamu owner wa hiyo hotel?
somebody #masawe mushi nimesahau jina lake ni mtu tajira sana lakini kila kitu wakati mwingine akili huchoka hivyo ni hekima kuwapa wengine au investor ambao pengine wana link ya wageni moja kwa moja kutoka nje hizi mambo ya kuokota okota wageni huku na kule wakati mwingine huwa ngumu sana kwa tanzania hiiilivyo ngumu ni lazima uwe na wageni kabisa
 
Back
Top Bottom