Ngurumo: Magufuli na “maparoko wake” wana kesi ya kujibu

kilichonishangaza zaidi ni kusema tuko kwenye vita ya kiuchumi,eti mjini watu wanakufa na kijijini mbona hawafi,yaani kiukweli huyu bwana mkubwa wasaidizi wake wanapata kazi kubwa sana kumshauri tena kwa kiasi kikubwa ,yaani nahisi sasa hv wanamwacha tyu aongee anavyotaka
 
Shida ya Africa nd hiko hapa yani chuki zimejaa na wivu wavitu hata visivoonekan. Nd maan mtu akifa africa hana thamani ni wa kutupwa 2 inasikitisha sana. Aliesema corona ni kimbunga nani kwamba kila kikipita sehemu kinawaua wote. Sas wewe kwa mawazo yako china yenye watu 1.4billion people wamekufa watu 4000 kila mtu ameshuhudia maambukizi au? Ila mbona wamechukua tahadhari.

Ndugu binadamu mwenzi akifa lazima ujiulize kwann afe wakati ana thamani y kuishi na pia ujiulize kama yeye kafa mimi ni chuma? Kwan ajali ilikuwa inaua watu wangapi kwa siku mpaka serikali ikanunua matorch barabarani? Ndo maan madaktari wetu hawawezi gundua dawa wala chanjo kutokana kwenye jamii hizi ndo saikolojia wanazokutana nazo.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Nilipomsikiliza jana nilimsamehe papo hapo kwa kuhitimisha kuwa Rais ana kasoro akilini mwake. Sio bure.

Witowangu kwa viongozi wa dini, wahakikishe Rais hapewi nafasi ya kuhutubu kama afanyavyo. Kingine ni kutoa tamko la pamoja la kulaani kauli yake na matumizi mabaya ya madhabahu.

Ikiwezekana Askofu muhusika amsimamishe ama kumpa onyo kali Padre aliyeongoza misa pasipo kuvaa barakoa kama kanisa lilivyotoa muongozo.
 
Nili
Nilipomsikiliza jana nilimsamehe papo hapo kwa kuhitimisha kuwa Rais ana kasoro akilini mwake. Sio bure.

Wito wangu kwa viongozi wa dini, wahakikishe Rais hapewi nafasi ya kuhutubu kama afanyavyo. Kingine ni kutoa tamko la pamoja la kulaani kauli yake na matumizi mabaya ya madhabahu.

Ikiwezekana Askofu muhusika amsimamishe ama kumpa onyo kali Padre aliyeongoza misa pasipo kuvaa barakoa kama kanisa lilivyotoa muongozo.
Yaani hapo ndio alijikanganya kuliko kawaida. Yesu angekuwa "chizi" angejirusha ili kujiongezea umashuhuri, lakini alilisimamia andiko linalokataza watu kumjaribu Mungu.

Jana Rais alipotumia nukuu hiyo nilijiuliza, hivi mtu ukisali uendapo kulala utaacha kufunga mlango kwa kuwa ushaomba ulinzi wa Mungu? Jibu ni HAPANA.

Na ndivyo ilivyo kwa janga linalotusibu, wakati tunaomba Mungu atuepushe nalo nasi tuna wajibu wa kufanya, yaani sharti tuchukuetahadhari.
 
Inaumana kusikitisha sana kwani makosa tuliyofanya kipindi cha nyuma ndio yana-tucost sana wa Tanzania.

Kibaya sana bado kuna watu wanazidi kutuaminisha kuwa wao wanamjua Mungu zaidi kuliko hata 'waliomsomea' huyu Mungu kwa miaka 20!

Cha kusikitisha zaidi tunazidi kupoteza wapendwa wetu kila kukicha kwa uzembe uliofanywa na wao!
 
We mkimbizi kaa huko ule hela za mabeberu sisi tunajua Mungu alitusaidia kama wewe umejaa upagani na kujipendekeza kwa wazungu kaa huko tuachie Tanzania yetu.
 
Atapata adhabu kubwa kwa Mungu kwa kushindwa kulinda uhai wa kondoo wake
 
Huu ugonjwa unwashambulia zaidi wazee, wenye kisukari, presha,uzito uliopindukia, cancer. Wengi wao ni wakubwa.
Mungu amsaidie huyu mtu sijui ana kichwa cha aina gani, nakubaliana na mwandishi anaposema ukiona wanakufa wakubwa ujue huko chini ndio wamepukutika wakutosha, Mungu atusaidie.

Nimekumbuka wimbo wa 2Pac; It's me against the world.
 
Ktk nchi tunajua kuna mapunguani, lkn kama wewe hutakuwa punguani mmojawapo basi neno punguani linatakiwa lifutwe katika kamusi.
 
Kina dada bhana, yaani nyie ndiyo Maana vijana huwa hawahangaiki kujua huyu kamaYuko tayari Kwa kile anataka kabla hata hajamtongoza, sasa wewe! Unaongea mambo ya chama Nani kakuuliza?
Kunywa maji ukalale dogo, nimefuatilia mjadala naona bado unahitaji kukua.
 
Msalimie Mbeligiji mwenzio Tundu Lissu, mwambie huku Tanzania CORONA hakuna na tupo shwari kabisa kiafya ya mwili na akili.
 
Mtoa mada una chuki binafsi
Rais amekuambia, ukitaka kutumia barakoa, tumia za Tanzania
2. Corona ya kwanza Tanzania tuliishinda lupita kwa Rais wetu
3. Kwa hiyo tungeendelea kuzuia watalii hadi lini? Kwani huko Duniani Corona imeisha kwa waliojifungia?
4. Kazi ya baba ni kuilinda familia yake, Rais kutuondoa hofu ni mambo njema, Kwani bila Corona vifo vimeisha?
Kazi ya viongozi wa dini siyo kututia hofu, kazi yao kutujenga turned yaliyo mema kimani na tufe tukiwa watakatifu!

Ipo wapi imani kama ya mashahidi wa Uganda kwa viongozi wetu wa dini?
Ndugu
Maafa ya Corona kwa Tanzania kwa mwaka uliopita siyo kama ya nchi nyingine, hivyo basi tumshukuru Mungu na kujipongeza na kumpongeza Rais wetu, siyo kila kitu kubwa tu.
Chuki zako kwa Rais hazitatufanya tuache kumuunga mkono
 
... Kwenye ibada ya leo amekosa kupigiwa makofi kabisa kama "alivyozoea" pamoja na ku-pose mara kwa mara kuyasubiria.
😂😂😂 wee jamaa wewe! Eti ali-pose kusubiria makofi 😂
 
Uhuru Kenyatta, jumapili kama hajaamka na hangover anaendaga kanisani bila hata ulinzi aki drive like Benz wagon lake,yani kwa raha zake.
Kwanini huu uzao wa Abyarimana unapenda mabunduki
 
Umenimalizia bandle bure 😼we
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…