Ngurumo: Magufuli na “maparoko wake” wana kesi ya kujibu

JPM, kwa hili sintakusemahe, ,sitakumbuka kwa ndege ulizonunua , madaraja na fly over .Nitakukumbuka kwa ulivyo ruhusu maisha ya watu kuteketea kama nzige
 
Best article. Kongole kwa mtunzi.
 
Reactions: BAK
mimi naona tec wamufukuze uumini wake akitaka ahame dhehebu kabisa anajiona yy ni zaidi ya askofu wetu mpendwa YUDA THADEO LUWAICHI akae atambue kua sisi wakatoliki tunaheshimu viongozi wetu wa dini kwanza kabla ya kuheshimu viongozi wa serikali na ndio maana marais wakatoliki waliomtangulia hawakuwahi kuwasema maaskofu km huyu mzee
 
Ni kwa vile hujatembea. Ungelikuwa na exposure , basi ungejua kuwa kuosha vyombo ni kazi (ajira). Ambayo hapa jamaa ameshindwa kuitoa.
Mbona nimetembea nchi nyingi sana duniani. Inategemea na status ya mtu, mpaka kuamua kwenda ulaya kuwa muosha vyombo.
 
Tumeisikiliza hotuba vizuri, hakuna mahala ambapo anawaswaga na kuwapelekesha mapadre na maaskofu Katoliki. Rais ametoa tahadhali juu ya kutumia barakoa zinazostahili.

Mtoa mada huna lolote, endelea kuosha vgombo vya wazungu huko ughaibuni.
Wewe endelea kulamba viatu labda kuna siku itatoka sukari badala ya tope.
 
Nionavyo mimi kanisa katoliki na serikali na kitu kimoja hivyo rais akihutubia kupitia kanisa hilo ni sawa kabisa kutokana na kwamba lina miundo yote ya kiserikali wakiwemo mabalozi wa Vatican katika nchi mbalimbali duniani,mifumo ya majimbo,vigango,hadi jumuiya ambayo hutumiwa na serikali zote duniani kutawala wafuasi ana wananchi wao. Pia kanisa katoliki linasimamia mamilioni ya waumini ambao wako katika kada mbalimbali za utawala na utaalamu wakatoliki ni dunia ni ulimwengu ni taasisi, hivyo tanayoendelea huko yasiwashtue ni sehemu ndogo sana ya ukuu na mamlaka ya kanisa katika dunia na hakuna awezaye kuwanyamazisha na kurekebisha mifumo hiyo isipokuwa Mungu.
 
Andiko lefu lakini nimejitahidi kulisoma lote,nilichokiona ni uchochezi tu basi
 
Watanzania tumechoka kuburuzwa.
Katika hili mimi nipo na Magu si mjifungie ndani hadi corona itakapo isha sisi wakipato cha chini ngoja tupige kazi

Tulianza na Mungu lazima tumalize na Mungu
 
Akili za kushikiwa hizi.
Andiko lefu lakini nimejitahidi kulisoma lote,nilichokiona ni uchochezi tu basi
Katika hili mimi nipo na Magu si mjifungie ndani hadi corona itakapo isha sisi wakipato cha chini ngoja tupige kazi

Tulianza na Mungu lazima tumalize na Mungu
 
Usmjarb bwana muumba wako huelew maandko unakalili
 
Reactions: BAK
Mna nguvu za kumsikiliza kwa kweli mimi huwa hata sitaki kujua ameongea nini maana hajawahi Jenga yeye mara nyingi ni kubomoa kwa kupitia kuwapa sifa baadhi ya watu hapo hapo...
 
Huyu naye tumemchoka sasa khaa yeye kutwa kucha Magufuli Magufuli sasa Wewe umejifungia uko kwa wazungu unahangaika na huku unawashwa washwa tu baki na wazungu wako tuachie nchi yetu tutapambana nayo mpaka mwisho bana pumbafu sana huyu Ngurumo
 
Mkuu wataanzia wapi kumkataza mtu kama Rais kuingia Kanisani kwao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…