Ngurumo: Magufuli na “maparoko wake” wana kesi ya kujibu

Ngurumo: Magufuli na “maparoko wake” wana kesi ya kujibu

Niko mfungo wa siku 40 siangalii mitandao wala kuangalia TV wala radio nasikiliza Mungu tu nimefuatwa nyumbani nasumbuliwa kuwa ingia jamii forums ujibu kuna mtu anatuhumu kanisa

Nasema hivi kwanza askofu Ruwaichi mpotofu hata Papa hatumii simu yenye android anatumia visimu vya Nokia Tochi na nina ushahidi asilimia 100 haaangalii TV wala mitandao ya kijamii wala haingii Watsap wala instagram nina ushahidi

Hivi Askofu Ruwaichi hana kazi za kufanya kiasi cha kushinda mitandaoni kuangalia watu wanasemaje badala ya kusikiliza Mungu anasemaje? Maaskofu Katoliki sasa hivi wanashinda mitandaoni wakiwa na simu za Android kusikiliza watu wanasemaje badala ya Mungu anasemaje? Askofu Ruwaichi mpagani aliyepewa uaskofu hongera paroko na masiista ambao hamkuvaa barakoa.

Ruwaichi alisema aliona Clip mitandaoni watu wamejaa daladala hawajali kuvaa barakoa wala social distance!!! nimjibu kuwa watu wa kawaida wanaamini Ulinzi wa Mungu kuliko yeye Askofu mtegemea sadaka asiyeenda kutafuta riziki asiye na mke wa kulala naye short distance wala familia ya close distance!!! Yeye hapandi daladala na anaishi single place !! asitukane wahangaikia riziki!!!

kifupi hata waumini anachoongea wanakiona hopeless sababu hawana private car waña private residence na hawategemei survival ya sadaka kama yeye hivyo lockdown na kutojaza abiria daladala kwao kuna effect kwao kuanzia dereva kondakta mumiliki hadi abiria.

Waumini na walei akiwemo Magufuli kipindi hiki cha Corona wana imani kubwa Kuliko Askofu Ruwaichi very sad Tanzania kuwa na walei wenye imani kubwa kuliko mifarisayo miaskofu Ruwaichi Loo

Namuomba Papa amtoe Askofu Ruwaichi Uaskofu anashinda mitandao ya kijamii badala ya kumsikiliza Mungu ushahidi video ya Mazishi ya Askofu Banzi

Magufuli songa mbele achana na mifarisayo inayojitia ooh tuneitwa na Mungu Corona ikitua inakimbilia kwa wanasayansi na kuvaa barakoa!!!

Nalog out let me finish my lent

Pope Francis mpe uaskofu wa Jimbo kuu La Dar es salaam na ukardinali Magufuli
in Tanzania currently we dont have bishops ho depend on God in Calamities!!

I am logging off
Mkuu ili andiko lako linafaha kabisa kuwekwa makumbusho ya taifa. Mwisho niseme naunga mkono hoja
 
I hope askofu mkuu jumbo katoliki la Dar atazungumza na paroko wa st peter juu ya nidhamu yake
Hata ningekuwa mimi Paroko nikijua JPM anakuja kanisani kwangu , nisingevaa barakoa nisije kumuuzi bure. Binafsi simlaumu Paroko.
 
Ngurumo anabadilisha alichoongea Rais kwenda katika mtizamo wake yeye ili kupotosha Jamii. Jiulize kama issue ni Corona ni nchi gani ambayo imeweza kuicontrol kwa kuvaa barakoa na lockdown? Mbona tulivyoacha kuvaa barakoa mwaka jana corona ilipungua sana? Kwann baada ya chanjo tu corona imekuja tena kwa kasi nyingine? Mbona hajajibu hoja ya Rais kwamba mijini ndo kwenye Corona na siyo vijijini? Huyo mwandishi ni mpuuzi na mwenye chuki binafsi na magufuli ndo maana alikimbia nchi hii kwenda kufanya kazi ya kuchamba vizee vya kizungu.
we endelea kujidanganya endelea, vijijini corona imetapakaa, hapa Dar watu kibao wamerudi na corona vijijini baada ya kwenda kuzika wana corona vijijini, unadhani huko vijijini wamebaki salama, au kwa vile hawana access na internet.
 
Isha ndo somo gani mkuu inawezekana halikunisumbua tuu labda hata sijalisoma kabisa.
I mean kuna article ina andikwa na mtu, alafu mwingine anaikopi ili isomwe na wengine, unakuta imewekwa viashiria ili watu wajue mwandishi wake siyo wewe ila ni flani.

Ndivyo ilivyo kwa hii habari ila umeshindwa kujua mwandishi wake ni nani, kudos!!.
 
Niko mfungo wa siku 40 siangalii mitandao wala kuangalia TV wala radio nasikiliza Mungu tu nimefuatwa nyumbani nasumbuliwa kuwa ingia jamii forums ujibu kuna mtu anatuhumu kanisa

Nasema hivi kwanza askofu Ruwaichi mpotofu hata Papa hatumii simu yenye android anatumia visimu vya Nokia Tochi na nina ushahidi asilimia 100 haaangalii TV wala mitandao ya kijamii wala haingii Watsap wala instagram nina ushahidi

Hivi Askofu Ruwaichi hana kazi za kufanya kiasi cha kushinda mitandaoni kuangalia watu wanasemaje badala ya kusikiliza Mungu anasemaje? Maaskofu Katoliki sasa hivi wanashinda mitandaoni wakiwa na simu za Android kusikiliza watu wanasemaje badala ya Mungu anasemaje? Askofu Ruwaichi mpagani aliyepewa uaskofu hongera paroko na masiista ambao hamkuvaa barakoa.

Ruwaichi alisema aliona Clip mitandaoni watu wamejaa daladala hawajali kuvaa barakoa wala social distance!!! nimjibu kuwa watu wa kawaida wanaamini Ulinzi wa Mungu kuliko yeye Askofu mtegemea sadaka asiyeenda kutafuta riziki asiye na mke wa kulala naye short distance wala familia ya close distance!!! Yeye hapandi daladala na anaishi single place !! asitukane wahangaikia riziki!!!

kifupi hata waumini anachoongea wanakiona hopeless sababu hawana private car waña private residence na hawategemei survival ya sadaka kama yeye hivyo lockdown na kutojaza abiria daladala kwao kuna effect kwao kuanzia dereva kondakta mumiliki hadi abiria.

Waumini na walei akiwemo Magufuli kipindi hiki cha Corona wana imani kubwa Kuliko Askofu Ruwaichi very sad Tanzania kuwa na walei wenye imani kubwa kuliko mifarisayo miaskofu Ruwaichi Loo

Namuomba Papa amtoe Askofu Ruwaichi Uaskofu anashinda mitandao ya kijamii badala ya kumsikiliza Mungu ushahidi video ya Mazishi ya Askofu Banzi

Magufuli songa mbele achana na mifarisayo inayojitia ooh tuneitwa na Mungu Corona ikitua inakimbilia kwa wanasayansi na kuvaa barakoa!!!

Nalog out let me finish my lent

Pope Francis mpe uaskofu wa Jimbo kuu La Dar es salaam na ukardinali Magufuli
in Tanzania currently we dont have bishops ho depend on God in Calamities!!

I am logging off
Pumba
 
Mungu amsaidie huyu mtu sijui ana kichwa cha aina gani, nakubaliana na mwandishi anaposema ukiona wanakufa wakubwa ujue huko chini ndio wamepukutika wakutosha, Mungu atusaidie.

Nimekumbuka wimbo wa 2Pac; It's me against the world.
Jiwe ana akili za ajabu sana eti anasema hivi kwani watu wanavyokufa na Corona ndio wataisha ? From reliable source (cabinet) .
 
Huyu jamaa kanisa linampa heshima kwa sababu ya urais wake tu ila anayoyafanya ni fedheha kwa kanisa.
Mumshauri Basi magufuli aachane na walinzi aanze kumtegemea Mungu jumla jumla Kama yule rais wa Uruguay
Ili tuelewe anachokisimamia
Mbona simple 2 kwamaana paulo akiwa jambazi alikiwa na silaha muda wote lakini alivopata imani hajawahi gusa silaha na alikuwa anaeneza injili bila kikwazo chchte. Ko tunamuomba pia kwakuwa yeye ni mtu wa Imani afanye hivo pia.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Eti papa hatumii mitamdao ya kijamii wala hana simu ya android hebu ficha huu ujinga....wakati jyzi tu akaunti ya Papa ili-like picha ya mrembo aliyekaa nusu utupu kwa bahati mbaya...

Kubali au kataa au jitie upofu Mh Rais anatumia majukwaa ya dini vibaya ,,nina amini majukwaa hayo angetumia mpinzani anaambiwa anachanganya siasa na dini.
Niko mfungo wa siku 40 siangalii mitandao wala kuangalia TV wala radio nasikiliza Mungu tu nimefuatwa nyumbani nasumbuliwa kuwa ingia jamii forums ujibu kuna mtu anatuhumu kanisa

Nasema hivi kwanza askofu Ruwaichi mpotofu hata Papa hatumii simu yenye android anatumia visimu vya Nokia Tochi na nina ushahidi asilimia 100 haaangalii TV wala mitandao ya kijamii wala haingii Watsap wala instagram nina ushahidi

Hivi Askofu Ruwaichi hana kazi za kufanya kiasi cha kushinda mitandaoni kuangalia watu wanasemaje badala ya kusikiliza Mungu anasemaje? Maaskofu Katoliki sasa hivi wanashinda mitandaoni wakiwa na simu za Android kusikiliza watu wanasemaje badala ya Mungu anasemaje? Askofu Ruwaichi mpagani aliyepewa uaskofu hongera paroko na masiista ambao hamkuvaa barakoa.

Ruwaichi alisema aliona Clip mitandaoni watu wamejaa daladala hawajali kuvaa barakoa wala social distance!!! nimjibu kuwa watu wa kawaida wanaamini Ulinzi wa Mungu kuliko yeye Askofu mtegemea sadaka asiyeenda kutafuta riziki asiye na mke wa kulala naye short distance wala familia ya close distance!!! Yeye hapandi daladala na anaishi single place !! asitukane wahangaikia riziki!!!

kifupi hata waumini anachoongea wanakiona hopeless sababu hawana private car waña private residence na hawategemei survival ya sadaka kama yeye hivyo lockdown na kutojaza abiria daladala kwao kuna effect kwao kuanzia dereva kondakta mumiliki hadi abiria.

Waumini na walei akiwemo Magufuli kipindi hiki cha Corona wana imani kubwa Kuliko Askofu Ruwaichi very sad Tanzania kuwa na walei wenye imani kubwa kuliko mifarisayo miaskofu Ruwaichi Loo

Namuomba Papa amtoe Askofu Ruwaichi Uaskofu anashinda mitandao ya kijamii badala ya kumsikiliza Mungu ushahidi video ya Mazishi ya Askofu Banzi

Magufuli songa mbele achana na mifarisayo inayojitia ooh tuneitwa na Mungu Corona ikitua inakimbilia kwa wanasayansi na kuvaa barakoa!!!

Nalog out let me finish my lent

Pope Francis mpe uaskofu wa Jimbo kuu La Dar es salaam na ukardinali Magufuli
in Tanzania currently we dont have bishops ho depend on God in Calamities!!

I am logging off
 
Huyu kakataa kuunga tela la upumbavu la kutovaa barakoa eti kwa kumuogopa jiwe. Jiwe ni mungu hadi aogopwe!? EBOO!


Hata ningekuwa mimi Paroko nikijua JPM anakuja kanisani kwangu , nisingevaa barakoa nisije kumuuzi bure. Binafsi simlaumu Paroko.
 
Hii ni tabia ya ku expose mapungufu ya afya za watu ni tabia ambayo mwigulu nchemba ameikemea siku sio nyingi , lakini cha ajabu bosi wake anaongoza kuifanya.
Ni zaidi ya ushamba lakini pia ni kosa la jinai. This thug of ours is a "Savage". Kilangila.
 
Hebu tuondolee huu upumbavu wako. Kama ni mkweli atuwekee huo ushahidi hadharani wa kuonyesha ni nchi ipi iliingiza barakoa ili ituue Watanzania ziliingia Nchini. Na ni nani aliyezigundua kama si salama, zilifanywa nini na kwanini hakuishtaki nchi husika katika Jumuiya ya Kimataifa kwa kuingiza nchini Barakoa hatarishi.
Daa katika nchi viongozi wana raha kuiongoza ni TZ aisee daaa. Em imagine watu wachache nd wanaweza kujiuliza maswali haya. Em mwambie ajibu mkuu afu tuendelee nae taratibu hhhhhh

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom