Ngurumo: Magufuli na “maparoko wake” wana kesi ya kujibu

Halafu huyu bwana si ana kanisa lake pale chato la kilokole kwa nini anawazonga wakatoliki
 
Tumeisikiliza hotuba vizuri,hakuna mahala ambapo anawaswaga na kuwapelekesha mapadre na maaskofu katoliki. Rais ametoa tahadhali juu ya kutumia barakoa zinazostahili.

Mtoa mada huna lolote,endelea kuosha vgombo vya wazungu huko ughaibuni.
Kwa hiyo barakoa za kuchukua kitenge na kutengeneza mwenyewe ndio zinafaa. Huyu jamaa yenu chenga sana.
 
Tumeisikiliza hotuba vizuri,hakuna mahala ambapo anawaswaga na kuwapelekesha mapadre na maaskofu katoliki. Rais ametoa tahadhali juu ya kutumia barakoa zinazostahili.

Mtoa mada huna lolote,endelea kuosha vgombo vya wazungu huko ughaibuni.
Wote wawili hata mkiangalia hoja zenu. Hamuoni aibu ya kunyimwa ubongo wa kufikiri ?!. Huku kusfu na kumuabudu mwanadamu kwa kutafuta vyeo, kunawafaidisha nini hata kwa gharama za maisha ya waTz ?!

WaTz walikosea sana , na Mungu anatuonyesha kuwa tulikosea. Tangu zamani. Kiongozi wa watu alijitokeza mbele kuelekeza nini cha kufanya mataifa yao yalipovamiwa na tauni. Lakini kwetu imekuwa kinyume . Kwanza maabara ya taifa tuliicrash kwa kuipimisha oil , kware, makondoo na mimbuzi. Na baada ya hapo waTz wanafanyaJe ?! Leo anazicrash na barakoa !! AnatakaJe ?!
 
CCM ndiyo Wagagagigikoko na huyu ndiyo Huihui mfalme wao. Kilangila.
Jamaa ni Mshamba na limbukeni Sana. Hivi watuonee wivu kwa lipi hasa? Iwapo hata toothpick zinaagizwa nje..

Ccm walimuokota wapi huyu Mgagagigikoko ambaye ameleta balaa kwa Nchi yetu?
 

Upuuzi mtupu. Pambana na hali yako.huko sweden kwenyewe wameshindwa kuikabili.
 
Unajua nini ilikuwa sababu ya kuweka sampuli za oil,kwale na mimbuzi?

Umelewa nini ameongelea kuhusu barakoa leo? Tumia akili kabla ya kulaumu.

Habari za kitoto acha.
 
Kama mliporwa haki yenu ya msingi ya kumchagua Diwani, mbunge na rais mkashindwa kuandamana, sembuse now kwenye hii futuhi ?
Binafsi siyo CDM, yawezekana wewe pia siyo CCM. Kwa hali inayoendelea kwa sasa hapa nchini, unafurahia kitendo cha CDM au upinzani kuporwa ushindi? Unaweza usiamini, hata wao waliopitishwa kimagumashi, hawana furaha ndani ya ukumbi wa bunge kama wakati ule kulipokuwa na upinzani. Kilangila.
 
Kama mheshimiwa rais Magufuli ulijua kuwa korona ipo na tahadhari lazima zichukuliwe mbona ulikaa kimya wakati meya wa manispaa ya Moshi anawavua barakoa madiwani kwenye kikao?

Tukueleweje mheshimiwa?
Kwamba unasema tujikinge kwa kumaanisha kweli?

NB: Kiongozi yeyote asicheze na maisha ya watu kwani uhai wa watu hauna mkataba na viongozi (these are two different things).
 
Andiko zuri sana, nilijisikia vibaya sana alivyo msimamisha mama mmoja akamsifia kua ni profesa ila ana kansa na amekatwa titi moja.
Nasikitika sana kama mhesimiwa alifanya tukio kama hilo la ubaguzi. Mwenye clip aitupie humu
 
Mumshauri Basi magufuli aachane na walinzi aanze kumtegemea Mungu jumla jumla Kama yule rais wa Uruguay
Ili tuelewe anachokisimamia
wewe nguruwe, walinzi wanatekeleza sheria hawafati amri ya magufuli.

ndio sababu hata akiwafukuza hawamuachi.
 
Nasubiri Tamko La Askofu RwaihiJu ya viongozi wa kisiasa Korea nafasi za nakusalimia waumini
Kwani ni lazima atoe hotuba Kila aingiapo kanisani,tunamsikiliza askofu wetu.
 
'Hataki kuvaa barakoa eti anamtegemea mungu, wakati ana walinzi na silaha za moto ikiwemo bastora kiunoni.'

 
Wewe kafir mkubwa mambo ya ukristo yanakuhusu nini? Nenda kapakatwe na meko kule kenge mtu ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…