Nguruwe pita sina mkuki mie!

Nguruwe pita sina mkuki mie!

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,286
Reaction score
6,736
Habari zenu wana JF, Nimekuja naomba mnisaidie maana ya msemo ufuatao: Kuna sehemu nilikuwa nikipita mama mmoja alikuwa anapenda kuniimbia wimbo huu Nguruwe pita sina mkuki mie wewe haramu kwangu sijakuzaa mie, Naombeni ufafanuzi maneno haya yana maana gani?
 
Back
Top Bottom