Ngushi ndiye mshambualiaji hatari zaidi pale jangwani

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Jamaa anajua kucheza na mpira miguuni ukimkaba unakuta mpira haupo unachobkutana nacho ni miguu yake mpira unakua nyuma yako huenda ndio sababu kuu inayomfanya apate majeraha kila wakati, pia anajua kuwahenyesha mabeki muda wote mpaka wanakosa utulivu, combination ya ngushi itakua hatari zaidi akipangwa na kikosi A lile pengo la Mayele hamtaliona tena ni suala la muda tu.
 
kwahiyo mechi moja
 
Pia mzize akicheza muda mrefu na NGUSHI ataimarika zaidi tena kwa haraka hata msimu unaweza usiishe akawa tishio maana akimuona NGUSHI anatia mpira nyavuni anapata machungu balaa anapambana sana.
 
mkuu mchezaji mzuri huwa anaonekana haraka sana jana mpaka nkashangaa huyu mtu kwanini hakuwa anapangwa ? Baada ya mapinduzi cup tutategemea kumuona akipangwa mara kwa mara huyu dogo.
Ni mchezaji asiyekuwa na muendelezo. Alipangwa kwenye mechi dhidi ya Kaizer chief akaonekana bonge la mchezaji, Gamondi akampanga tena kwenye ngao ya jamii akawa kituko uwanjani
 
mkuu mchezaji mzuri huwa anaonekana haraka sana jana mpaka nkashangaa huyu mtu kwanini hakuwa anapangwa ? Baada ya mapinduzi cup tutategemea kumuona akipangwa mara kwa mara huyu dogo.
Ni mchezaji asiyekuwa na muendelezo. Alipangwa kwenye mechi dhidi ya Kaizer chief akaonekana bonge la mchezaji, Gamondi akampanga tena kwenye ngao ya jamii akawa kituko uwanjani
 
mkuu mchezaji mzuri huwa anaonekana haraka sana jana mpaka nkashangaa huyu mtu kwanini hakuwa anapangwa ? Baada ya mapinduzi cup tutategemea kumuona akipangwa mara kwa mara huyu dogo.
Hata Prof Nabi alisema.
 
Kazi anayo...maana hana muendelezo..ajipange kazi kubwa anayooo
 
Msimu ujao tutampeleka simba kwa mkopo. Maana kule uhakika wa kuanza kwenye kikosi cha kwanza ni 100%.
 
Pia mzize akicheza muda mrefu na NGUSHI ataimarika zaidi tena kwa haraka hata msimu unaweza usiishe akawa tishio maana akimuona NGUSHI anatia mpira nyavuni anapata machungu balaa anapambana sana.
Ngushia ili acheze inabidi nani asubiri.
 
Watu wa mpira tu ndo watakubaliana na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…