Nguvu inawezaje kutengeneza object?

Nguvu inawezaje kutengeneza object?

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Mpo salama waungwana?

Swali hili ningependa haswa kulipeleka katika pande mbili (2) kwenye sayansi na wanaoamini uwepo wa Mungu.

Katika sayansi ningependa kuhoji hivi je, ni kivipi nguvu inaweza kutengeneza/kutokeza object?

Katika upande wa Waumini wa Mungu naomba kuhoji hivi
kama ilivyoandika na vitabu vyake kwamba kwa kutumia uweza wake ama nguvu zake Mungu aliumba kila kitu. Swali hapa ni je, ni kivipi nguvu hiyo ya Mungu iliweza kuumba/kutokeza/kuunda objects kama dunia,nyota n.k?

Ni hivyo tu wakuu mnakaribishwa.
 
Hebu tupe mfano wa kitu kilichotengenezwa kisayansi kwa kutumia nguvu pekee bila kifaa chochote...
Ningekuwa najua nadhani nisingekuja kuhoji sijui na ndo maana nakauliza
 
Sasa ndugu yangu Unauliza kitu ambacho hata hakipo??? unataka Nguvu itumikaje labda? Kama kwenye mazingaombwe au?
Nachotaka kujua ni swala hili kama linaweza kuelezeka kisayansi na ni kivipi... hivyo tu.
haswa nalotaka kujua ni je,nguvu ya kufanya hivyo ipo au lah na iwe inaelezeka kisayansi nadhani utakuwa umenielewa mkuu
 
Nachotaka kujua ni swala hili kama linaweza kuelezeka kisayansi na ni kivipi... hivyo tu.
haswa nalotaka kujua ni je,nguvu ya kufanya hivyo ipo au lah na iwe inaelezeka kisayansi nadhani utakuwa umenielewa mkuu
Hapo nimekuelewa, Subiri wahusika waje
 
Hakuna upumbavu mkubwa kama binadamu kuhoji juu ya uumbaji wa mungu!!....ni sawa na sisimizi atake kuuumiza kichwa na kuhoji juu ya ni jinsi gani binadamu ameweza kupeleka chombo kwenye sayari ya pluto,hakika hatapata jibu!!!!
 
Ni nadhani kuna swala la uchawi pia japo cjawahi prove
 
Back
Top Bottom