Nguvu inawezaje kutengeneza object?

Nguvu inawezaje kutengeneza object?

Kama Mungu ni sharia, kwa nini unaandika "akafanya" na si "ikafanya"?

Sheria si nafsi.

Kwa nini unatumia "akafanya" kama vile sharia ni nafsi?

Nguvu ya uvutano ni sharia. Nikitaka kuongelea kilichofanywa na nguvu ya uvutano nitaandika "ikafanya".

Sasa kwa nini wewe unaandika "akafanya"?

You are confusing us. Mungu ni nafsi au sharia?
Swali zuri japo ungeelewa nilipokuambia tuanze na swali la Mungu ni nini kwanza, usingepata huo utata.

Kabla sijajibu hili swali lako jipya, nikuulize kama umeelewa habari za Upendo /Ubaya, ujuzi/uwezo wa yote.

Semea hilo kwanza ili tuendelee na darasa la kwa namna gani Asili ni Conscious. Una swali juu ya kutokea kwa mabaya?
 
Swali zuri japo ungeelewa nilipokuambia tuanze na swali la Mungu ni nini kwanza, usingepata huo utata.

Kabla sijajibu hili swali lako jipya, nikuulize kama umeelewa habari za Upendo /Ubaya, ujuzi/uwezo wa yote.

Semea hilo kwanza ili tuendelee na darasa la kwa namna gani Asili ni Conscious. Una swali juu ya kutokea kwa mabaya?
Sheria haiwezi kuwa na upendo.

Umeelewa hilo?

Sheria haina nafsi ya kuweza kuwa na upendo.

It is an inanimate force.

Ukisema sharia ina upendo unajichanganya.
 
Ukimaliza hapo jiulize unawezaje kuclick eject kwenye pc alafu deki ikafunguka....

There is an answer to every question its just a matter of researching
 
Ukimaliza hapo jiulize unawezaje kuclick eject kwenye pc alafu deki ikafunguka....

There is an answer to every question its just a matter of researching
Watakwambia sababu ni Mungu.
 
Sheria haiwezi kuwa na upendo.

Umeelewa hilo?

Sheria haina nafsi ya kuweza kuwa na upendo.

It is an inanimate force.

Ukisema sharia ina upendo unajichanganya.
Una nini cha kusema juu ya Tafsiri ya Upendo niliyokupa? Nimesema na ninarudia, Upendo si kitu mtu anaweza kuwa nacho, Upendo ni Tokeo la kutii sheria za Mungu. Nakukumbusha tena, hapa usilete hoja za mtu mwingine, Ulipodai Mungu hayupo madai yako hayakuwa kwa wanadini tu pekee yao, usinifunge na kitu ambacho mimi sijasema, Otherwise sema kama huu mjadala haunihusu.
 
Back
Top Bottom