Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Unataka kusema huo ndio uelewa wako wa kauli HUWEZI KUULIZA? Kufikia kujitapa ati mbona nimeuliza?
Ukiandika kwamba siwezi kuuliza kitu ambacho nishauliza maana yake huelewi maana ya "huwezi kuuliza" au una matatizo mengine ya kuelewa.