Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Aina ya swali langu ni ipi?Labda tu ukatae jibu, ila nipichokujibu ndicho kinachopaswa kwa aina ya swali lako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aina ya swali langu ni ipi?Labda tu ukatae jibu, ila nipichokujibu ndicho kinachopaswa kwa aina ya swali lako.
mfano kuna post humu zinafundisha namna ya kuwasha na kuzima mshumaa kwa fikra...Hebu tupe mfano wa kitu kilichotengenezwa kisayansi kwa kutumia nguvu pekee bila kifaa chochote...
Nani ambae alijaribu akafanikiwa?mfano kuna post humu zinafundisha namna ya kuwasha na kuzima mshumaa kwa fikra...
Taratibu ndugu, kipimo ulichotumia wewe kusema kuwa nimehamanika, ndicho nilichotumia mimi kusema wewe umepanic.Wapi nime panic? Unanjaje kwamba nime panic? Unajuaje kwamba wewe hujapanic kuniona mimi nime panic?
Je, hujui tunachojadili hapa kiasi cha kutojua msingi frame work ya swali la utofauti kati ya kujua na kuamini?Aina ya swali langu ni ipi?
Vijimambo vidogo ni vipi na vikubwa ni vipi? Kwa msingi gani? Na uamuzi wa nani?Taratibu ndugu, kipimo ulichotumia wewe kusema kuwa nimehamanika, ndicho nilichotumia mimi kusema wewe umepanic.
Halafu kwanini unapenda kutoka nje ya hoja ya msingi na kufuatilia vijimambo vidogovidogo? Onesha ni wapi ulipojibia post yangu namba 187.
Hujajibu swali nililokuuliza, ulichojibu si nilichokuuliza.Je, hujui tunachojadili hapa kiasi cha kutojua msingi frame work ya swali la utofauti kati ya kujua na kuamini?
Onesha wapi ulipojibia post yangu namba 187.Vijimambo vidogo ni vipi na vikubwa ni vipi? Kwa msingi gani? Na uamuzi wa nani?
Kusema sijajibu ni kwa uamuzi wa nani?Hujajibu swali nililokuuliza, ulichojibu si nilichokuuliza.
Hujathibitisha Mungu yupo.
Onesha wapi ulipojibia post yangu namba 187.
Kwa nini uwe wa nani na si nini?Kusema sijajibu ni kwa uamuzi wa nani?
Ni wapi nilikosema mazuri ni lazima yatoke kwa Mungu? Nimekuuliza mazuri ni nini, na mabaya ni nini, na yanatoka wapi, huko ndio kusema lazima mazuri yatoke kwa Mungu?Post yako imejibiwa na post namba 196. Kwa nini unaona mazuri ni lazima yatoke kwa Mungu wakati hata huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo?
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Kwanini uwe wa nini na si wapi na kipi?Kwa nini uwe wa nani na si nini?
Swali hili nilishalijibu.Ni wapi nilikosema mazuri ni lazima yatoke kwa Mungu? Nimekuuliza mazuri ni nini, na mabaya ni nini, na yanatoka wapi, huko ndio kusema lazima mazuri yatoke kwa Mungu?
Umeshindwa kujibu swali unaanza kulisha watu maneno na kujitafutia majibu mwenyewe.
Wapi na kipi zote zipo katika nini, lakini nini haipo katika wapi na kipi.Kwanini uwe wa nini na si wapi na kipi?
Heri ni nini na inatokeaje na tunaipimaje? Swali lako nilishajibu mara nyingi, ndilo lililoleta mjadala hadi hapa ulipo sasa, toa majibu ya maswali hapo juu.Swali hili nilishalijibu.
Nakujibu tena, mazuri ni yale unayoyataka na yenye kuleta fanaka ya heri, mabaya ni yale usiyoyataka na yasiyoleta fanaka ya heri.
Na wewe nijibu swali langu maadam mimi nimekujibu.
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kufanyika wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kufanyika?
Hujanijibu swali hili.
Ungetoa jibu kwanza ndio ungeonesha vizuri, kwanini kuwa mahususi kwenye swali hili kuna mapungufu.Wapi na kipi zote zipo katika nini, lakini nini haipo katika wapi na kipi.
Jifunze Kiswahili. Jifunze set theory.
Hujajibu swali langu, onesha ulipolijibu.Heri ni nini na inatokeaje na tunaipimaje? Swali lako nilishajibu mara nyingi, ndilo lililoleta mjadala hadi hapa ulipo sasa, toa majibu ya maswali hapo juu.
Nilivyokujibu umeelewa au unarukia tu nitoe jibu wakati hata nilichokujibu hujaelewa?Ungetoa jibu kwanza ndio ungeonesha vizuri, kwanini kuwa mahususi kwenye swali hili kuna mapungufu.