Nguvu inawezaje kutengeneza object?

Nguvu inawezaje kutengeneza object?

Kuwa serious kidogo ili mjadala uwe na tija, nimejibia hili mara ngapi?
Majibu yako yote yamezaa maswali ambayo hujayajibu.

Umesema Mungu ni nguvu, nimekuuliza hiyo nguvu ina upendo au haina upendo?

Umekimbila hili swali. Hujalijibu.

Nioneshe ulipolijibu.
 
Hoja ya square root imekufa vipi?

Hojailikuwa kwamba, huhitaji kujua jibu halisi ili kujua kwamba jibu Fulani ni batili.

Nikatoa mfano mtu hajui square root ni nini, hajui square root ya mbili ni nini, lakini kaambiwa na mwalimu wake square root ni lazima iwe ndogo kuliko hiyo namba inayotafutiwa square root.

Huyu mtu si mdadisi, anasikia anachoambiwa na kukikubali tu, anaheshimu authority ya mwalimu wake.

Kwa hiyo hajui square root ni nini, hajui square root ya mbili ni nini. Lakini anajua kwamba square root ya namba yoyote ni lazima iwe ndogo kuliko namba yenyewe.

Ukimwambia mtu huyu square root ya 2 ni 5 atakwambia haiwezi kuwa hivyo, kwa sababu square root ya 2 haiwezi kuwa kubwa kuliko 2.

Bila hata kujua square root ni nini na square root ya mbili ni nini.

Hahitaji kujua jibu sahihi ili kujua kwamba jibu fulani ni batili.

Kwa nini unasema hoja yangu ya kwamba unaweza kujua jibu fulani ni batili hata kama hujui jibu sahihi imekufa?

Embu jibu hili kwanza, JE, MTU ASIYEJUA SQUARE ROOT NI NINI ANAWEZAJE KUTUTHIBITISHIA KUWA SQUARE ROOT YA NAMBA HAIWEZI KUWA KUBWA ZAIDI YA NAMBA YENYEWE?
 
Majibu yako yote yamezaa maswali ambayo hujayajibu.

Umesema Mungu ni nguvu, nimekuuliza hiyo nguvu ina upendo au haina upendo?

Umekimbila hili swali. Hujalijibu.

Nioneshe ulipolijibu.
Habari za Upendo unazitoa wapi hali mimi sijazitaja? Nimekuambia sifa kuu ya kwanza ya Mungu ni uumbaji wa ulimwengu, the Creator.
Je, unatambua uwepo wa nguvu iliyofanya ulimwengu?
 
Habari za Upendo unazitoa wapi hali mimi sijazitaja? Nimekuambia sifa kuu ya kwanza ya Mungu ni uumbaji wa ulimwengu, the Creator.
Je, unatambua uwepo wa nguvu iliyofanya ulimwengu?
Habari za uoendo nazitoa wapi kama wewe hujazitaja?

Nina "litmus tst" yangu ya kumpima Mungu yeyote. Ina tumia dhana ya upendo.

Mungu wako anaogopa kupimwa na "litmus test" yangu inayotumia dhana ya upendo?
 
Habari za uoendo nazitoa wapi kama wewe hujazitaja?

Nina "litmus tst" yangu ya kumpima Mungu yeyote. Ina tumia dhana ya upendo.

Mungu wako anaogopa kupimwa na "litmus test" yangu inayotumia dhana ya upendo?
Upendo ni nini? Niambie hiyo dhana ya upendo uitumiayo ni nini kwako?
 
Habari za uoendo nazitoa wapi kama wewe hujazitaja?

Nina "litmus tst" yangu ya kumpima Mungu yeyote. Ina tumia dhana ya upendo.

Mungu wako anaogopa kupimwa na "litmus test" yangu inayotumia dhana ya upendo?
Upendo ni nini? Niambie hiyo dhana ya upendo uitumiayo ni nini kwako?
 
Hiyo sayansi ni ya upotoshani. naweza kulinganisha na fikra za Darwin zinazopumbaza watu mpaka leo. Mola pekee ndiye alie umba Dunia na vilivyomo kwa siku sita na ya saba akapumzika.
kwa kauli yake "Kun Fayakun" yaani kuwa na kikawa.
wanasayansi muda mwingine aisee ni changamoto sana.
 
Upendo ni nini? Niambie hiyo dhana ya upendo uitumiayo ni nini kwako?
Upendo kwangu ni kutoruhusu kibaya kitokee kama unaweza kukizuia na kuruhusu kizuri kitokee kama unaweza kufanya hivyo.

Mungu wako huyo ana upendo?
 
Mtoto anayefundishwa hii ni a na hii ni b, anahitaji kuthibitishiwa hilo?

Utathibitishaje hii ni a na hii ni b?
Unazungumzia Unasibu wa lugha kujenga hoja ya kupinga uwepo wa Mungu? Kwanini umtumie mtoto na si mtu mzima? Nawe huna tofauti na wamuhusishae Mungu na IMANI za kusadikika.
 
Upendo kwangu ni kutoruhusu kibaya kitokee kama unaweza kukizuia na kuruhusu kizuri kitokee kama unaweza kufanya hivyo.

Mungu wako huyo ana upendo?
Ubaya ni nini kwako na unatoka wapi? Uzuri ni nini kwako na unatoka wapi pia?
 
Mpo salama waungwana?

Swali hili ningependa haswa kulipeleka katika pande mbili (2) kwenye sayansi na wanaoamini uwepo wa Mungu.

Katika sayansi ningependa kuhoji hivi je, ni kivipi nguvu inaweza kutengeneza/kutokeza object?

Katika upande wa Waumini wa Mungu naomba kuhoji hivi
kama ilivyoandika na vitabu vyake kwamba kwa kutumia uweza wake ama nguvu zake Mungu aliumba kila kitu. Swali hapa ni je, ni kivipi nguvu hiyo ya Mungu iliweza kuumba/kutokeza/kuunda objects kama dunia,nyota n.k?

Ni hivyo tu wakuu mnakaribishwa.
Nguvu(Energy) inaweza kutengeneza object(mass). Kutokana na relativity theory ya Einstein E=mc^2 where c= speed of light in free space, inawezekana kabisa kucreate object kutoka katika Energy.
 
Kila kitu huanzia kichwan kama wazo na baadae ndo kinakuwa kitu halis kama mtu katengeneza kijiko aliwaza na akakitengeneza kwenye nawazo maana yake alijua ni wapi atapata material yake mpaka kukamilisha
 
Kila kitu huanzia kichwan kama wazo na baadae ndo kinakuwa kitu halis kama mtu katengeneza kijiko aliwaza na akakitengeneza kwenye nawazo maana yake alijua ni wapi atapata material yake mpaka kukamilisha
Unamzungumzia nani mungu ama...?
 
Hiyo sayansi ni ya upotoshani. naweza kulinganisha na fikra za Darwin zinazopumbaza watu mpaka leo. Mola pekee ndiye alie umba Dunia na vilivyomo kwa siku sita na ya saba akapumzika.
kwa kauli yake "Kun Fayakun" yaani kuwa na kikawa.
wanasayansi muda mwingine aisee ni changamoto sana.
kwa kauli inawezekanaje kuunda object..?
 
kwa kauli inawezekanaje kuunda object..?
kama ukiamini Mungu ananguvu basi hilo ni jambo jepesi sana kwake kuumba kitu kwa kauli yake moja tu. ila ukitaka proof ya sayansi yenu kwa kila kitu ni kupoteza muda na ndio maana hata sayansi imeshindwa kuthibitisha roho inatoka vipi. inabidi ifike kipindi tuamini kuwa MwnyeziMungu yupo.
 
kama ukiamini Mungu ananguvu basi hilo ni jambo jepesi sana kwake kuumba kitu kwa kauli yake moja tu. ila ukitaka proof ya sayansi yenu kwa kila kitu ni kupoteza muda na ndio maana hata sayansi imeshindwa kuthibitisha roho inatoka vipi. inabidi ifike kipindi tuamini kuwa MwnyeziMungu yupo.
tuamini tu! kuna uthibitisho gani kuwa yeye ndo aliumba vitu vyote..?
 
tuamini tu! kuna uthibitisho gani kuwa yeye ndo aliumba vitu vyote..?
kama unaamini kuwa yupo basi nakusihi uamini na maandiko ya vitabu vyake vyenye mafundisho ya uumbaji wa kila kitu.
lakini kama hauamini basi ni ngumu sana mkuu. ila mambo ya imani yanahitaji sana kufikiria beyond. jiulize kwanini hatuwezi kutengeneza damu tukaongezea watu mahospitalini instead tunahimiza hatu wachangie ili ipatikane ya kuongezea. it means yupo aliye itengeneza ambae elimu yake hakuna anaeijua zaidi yake ndio maana hata hao wazungu wanasayansi wanao aminiwa hawaijui hadi leo.
 
Back
Top Bottom