Nguvu inawezaje kutengeneza object?

Nguvu inawezaje kutengeneza object?

kama unaamini kuwa yupo basi nakusihi uamini na maandiko ya vitabu vyake vyenye mafundisho ya uumbaji wa kila kitu.
lakini kama hauamini basi ni ngumu sana mkuu. ila mambo ya imani yanahitaji sana kufikiria beyond. jiulize kwanini hatuwezi kutengeneza damu tukaongezea watu mahospitalini instead tunahimiza hatu wachangie ili ipatikane ya kuongezea. it means yupo aliye itengeneza ambae elimu yake hakuna anaeijua zaidi yake ndio maana hata hao wazungu wanasayansi wanao aminiwa hawaijui hadi leo.
hapo ndo umenithibitishia..?
swala la kuamini vitabu vyake halitakuwa na tija kama hakuna uthibitisho.
 
Unazungumzia Unasibu wa lugha kujenga hoja ya kupinga uwepo wa Mungu? Kwanini umtumie mtoto na si mtu mzima? Nawe huna tofauti na wamuhusishae Mungu na IMANI za kusadikika.
Hakuna mtu mzima ambaye hajui square root ni nini akaweza kuwa sehemu ya huyo mtoto?

Nikuulize swali.

Unahitaji kujua gavana wa jimbo la New York la Marekani ni nani ili ujue kwamba si Mtanzania anayeitwa Paul Makonda?
 
Ubaya ni nini kwako na unatoka wapi? Uzuri ni nini kwako na unatoka wapi pia?
Ubaya ni kinyume cha uzuri wa upendo niliokuelezea hapo juu, unatoka katika mambo yanayotoa matokeo ya ubaya huo.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
In Physics. Energy and matter are interrelated and can be converted into one another. The equation is E=mc² and it was Einstein who discovered it. Do matter can make energy and energy can make matter.
 
Hakuna mtu mzima ambaye hajui square root ni nini akaweza kuwa sehemu ya huyo mtoto?

Nikuulize swali.

Unahitaji kujua gavana wa jimbo la New York la Marekani ni nani ili ujue kwamba si Mtanzania anayeitwa Paul Makonda?
Hivi uliposema mtoto ulikuwa na tafsiri ya binadamu mwenye umri mdogo? Kwangu mtoto ni yule apokeae jambo bila kuhoji. Kwahiyo huyo mtu mzima asiyejua square root ni nini halafu akaambiwa tu na kuamini, kuwa haiwezi kuwa kubwa kuliko namba twende, huyo ni mtoto tu. Kiranga unachoendeleza sasa ni ubishi, ni kweli kwako kujua kunaweza kuja tu bila ushahidi?
Sihitaji kujua gavana ni nani, ila kwavile najua Paul Makonda ni nani, nitahitaji kujua sheria ama vigezo vya kuwa gavana wa New York ni vipi, ili nijue KWANINI NI/SI Makonda.
 
Hivi uliposema mtoto ulikuwa na tafsiri ya binadamu mwenye umri mdogo? Kwangu mtoto ni yule apokeae jambo bila kuhoji. Kwahiyo huyo mtu mzima asiyejua square root ni nini halafu akaambiwa tu na kuamini, kuwa haiwezi kuwa kubwa kuliko namba twende, huyo ni mtoto tu. Kiranga unachoendeleza sasa ni ubishi, ni kweli kwako kujua kunaweza kuja tu bila ushahidi?
Sihitaji kujua gavana ni nani, ila kwavile najua Paul Makonda ni nani, nitahitaji kujua sheria ama vigezo vya kuwa gavana wa New York ni vipi, ili nijue KWANINI NI/SI Makonda.
Unakubali kwamba huhitaji kujua jibu sahihi ili kujua jibu fulani si sahihi?
 
Ubaya ni kinyume cha uzuri wa upendo niliokuelezea hapo juu, unatoka katika mambo yanayotoa matokeo ya ubaya huo.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Unafurahisha ndugu yangu, upendo au uzuri ni kutokuwapo kwa ubaya, na ubaya nao ni kinyume cha uzuri.

Hayo mambo ni yepi, na yanawezaje kuleta ubaya huo unaousemea wewe. Ni nini kinaleta ubaya ama upendo kwako?
 
Unakubali kwamba huhitaji kujua jibu sahihi ili kujua jibu fulani si sahihi?
Kabisaaaaa, ila tu kama unajua msingi wa swali ni nini! Yaani ni lazima ujue msingi wa jibu ni upi, kama huna huo msingi wa jibu kukubali kwako ama kukataa kwako ni IMANI zako tu zao la hulka zake, huwezi kutetea kwanini unakataa ama unakubali.
 
Kabisaaaaa, ila tu kama unajua msingi wa swali ni nini! Yaani ni lazima ujue msingi wa jibu ni upi, kama huna huo msingi wa jibu kukubali kwako ama kukataa kwako ni IMANI zako tu zao la hulka zake, huwezi kutetea kwanini unakataa ama unakubali.
Msingi wa swali ni nini?
 
Hiyo sayansi ni ya upotoshani. naweza kulinganisha na fikra za Darwin zinazopumbaza watu mpaka leo. Mola pekee ndiye alie umba Dunia na vilivyomo kwa siku sita na ya saba akapumzika.
kwa kauli yake "Kun Fayakun" yaani kuwa na kikawa.
wanasayansi muda mwingine aisee ni changamoto sana.

Naomba nikusaidie kwa kukujuza.

Darwin na Evolution haisemi chanzo cha uhai au nani aliumba. Ndio maana Thesis yake inaitwa "Origin Of Species" na sio life au god. Na wala hajasema uhai ulianzaje au uliletwa na nani. Hajasema lolote kuhusu hayo.

Darwin alijaribu kuelezea jinsi viumbe vipya (species) inavyoweza kutokea, jinsi viumbe vinavyobadilka kutokana na mazingira na mazoea, na jinsi baadhi ya aina za viumbe vya zamani ambavyo hivi sasa havipo akaelezea vilipotea kwa sababu gani.

Hizo laana unazompa unajipa wewe mwenyewe kwa kutosoma kazi yake na kujua alielezea nini. Ni vyema kujua ndipo uangalie usahihi au upotoshaji upo wapi.
 
Kuna siku niliwahi kuacha kujibu post yako? Unaweza kunipa mfano huo?

Au unahamanika tu?
Taratibu ndugu, usipanic. Embu onesha tu jibu la post tajwa hapo juu, tutajua nani hasa mwenye kuhamanika.
 
Hakuna upumbavu mkubwa kama binadamu kuhoji juu ya uumbaji wa mungu!!....ni sawa na sisimizi atake kuuumiza kichwa na kuhoji juu ya ni jinsi gani binadamu ameweza kupeleka chombo kwenye sayari ya pluto,hakika hatapata jibu!!!!

Ina Maana mungu ni mwoga wa maswali ya kiumbe wake?
 
Taratibu ndugu, usipanic. Embu onesha tu jibu la post tajwa hapo juu, tutajua nani hasa mwenye kuhamanika.
Wapi nime panic? Unanjaje kwamba nime panic? Unajuaje kwamba wewe hujapanic kuniona mimi nime panic?
 
Back
Top Bottom